Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hivi masuka wanalipwa shingapi ? ,ili tubadilishe fani tu japo nilisikia interview zao ngumu balaa.
Ila maisha bhana! Serikali wajitafakari kidogo wabadilishe viwango vya mishahara hasa LGA.
Yaani Dereva TRA anamzidi mshahara Afisa Biashara wa LGA😅
 
Hapa alikua anaitajika mtu mmoja 🤣🤣
IMG-20230817-WA0079.jpg
 
mikoa ya kichoko sana hyo

mara ya kwanza nlikua nachukulia utan hizi comment zako lakn naona uko serious. jaribu kupunguza kuiwaza ajira mana utakonda kwa depression bro
aargh sometime naonaga hata wasiponiajili poa tu maana nishasahau kila kitu. kuna siku jagi la kuchemshia maji tu lilizingua nikalifungua kulitengeneza ile nimeliwasha huo mlipuko wake niliruka kidogo nivunje mguu...
 
Hapa alikua anaitajika mtu mmoja 🤣🤣
View attachment 3219740

aargh sometime naonaga hata wasiponiajili poa tu maana nishasahau kila kitu. kuna siku jagi la kuchemshia maji tu lilizingua nikalifungua kulitengeneza ile nimeliwasha huo mlipuko wake niliruka kidogo nivunje mguu...
🤣🤣😂😂🤣 MKUU ndio unataka kwenda tanesco aaah hapana kwa kweli kumbe tunawalaumu bure psprs aisee Engeneer aaah acha bwana🤣🤣🤣 leo umenichekesha aisee
 
🤣🤣😂😂🤣 MKUU ndio unataka kwenda tanesco aaah hapana kwa kweli kumbe tunawalaumu bure psprs aisee Engeneer aaah acha bwana🤣🤣🤣 leo umenichekesha aisee
ndio maana sometime naona kama mbway mbway tu nisije nikaenda kujifia kwenye matransformer uko.. 🤣 🤣
 
aargh sometime naonaga hata wasiponiajili poa tu maana nishasahau kila kitu. kuna siku jagi la kuchemshia maji tu lilizingua nikalifungua kulitengeneza ile nimeliwasha huo mlipuko wake niliruka kidogo nivunje mguu...
😀😀
 
Naomba kuuliza hivi kama ushaajiriwa lakini unataka kufanya interview ajira portal ile cover letter inayopitia kwa DED ni lazma ioneshe tarehe
 
Back
Top Bottom