Ila maisha bhana! Serikali wajitafakari kidogo wabadilishe viwango vya mishahara hasa LGA.Hivi masuka wanalipwa shingapi ? ,ili tubadilishe fani tu japo nilisikia interview zao ngumu balaa.
Taasisi gani hiiHapa alikua anaitajika mtu mmoja π€£π€£
View attachment 3219740
electricalTaasisi gani hii
Naombaga Kwa Mungu kheri nipate uko ndani ndani ata gambosi kijijini uko mbali Sana kuliko uo mkoa wa Kilimanjaroππumejuaje
Lkn ajabu wengi tunaenda ku test mitambo tu. Hatujiandai utakacho kikuta icho icho sasa ukasoma vizur unashangaa unapasua kilainHapa alikua anaitajika mtu mmoja π€£π€£
View attachment 3219740
shida ni kwamba hujui wanatoa wapi ingekua wanatoa kama pepa za UE ingekua poaLkn ajabu wengi tunaenda ku test mitambo tu. Hatujiandai utakacho kikuta icho icho sasa ukasoma vizur unashangaa unapasua kilain
mikoa ya kichoko sana hyoππumejuaje
mara ya kwanza nlikua nachukulia utan hizi comment zako lakn naona uko serious. jaribu kupunguza kuiwaza ajira mana utakonda kwa depression brodah ningekua tanesco saa hizi ningekua ndo nimetoka lunch..
aargh sometime naonaga hata wasiponiajili poa tu maana nishasahau kila kitu. kuna siku jagi la kuchemshia maji tu lilizingua nikalifungua kulitengeneza ile nimeliwasha huo mlipuko wake niliruka kidogo nivunje mguu...mikoa ya kichoko sana hyo
mara ya kwanza nlikua nachukulia utan hizi comment zako lakn naona uko serious. jaribu kupunguza kuiwaza ajira mana utakonda kwa depression bro
Hapa alikua anaitajika mtu mmoja π€£π€£
View attachment 3219740
π€£π€£πππ€£ MKUU ndio unataka kwenda tanesco aaah hapana kwa kweli kumbe tunawalaumu bure psprs aisee Engeneer aaah acha bwanaπ€£π€£π€£ leo umenichekesha aiseeaargh sometime naonaga hata wasiponiajili poa tu maana nishasahau kila kitu. kuna siku jagi la kuchemshia maji tu lilizingua nikalifungua kulitengeneza ile nimeliwasha huo mlipuko wake niliruka kidogo nivunje mguu...
ndio maana sometime naona kama mbway mbway tu nisije nikaenda kujifia kwenye matransformer uko.. π€£ π€£π€£π€£πππ€£ MKUU ndio unataka kwenda tanesco aaah hapana kwa kweli kumbe tunawalaumu bure psprs aisee Engeneer aaah acha bwanaπ€£π€£π€£ leo umenichekesha aisee
Aah we jamaaa ni noma sasa si interview zenu mna practical sasa hapo huwa inakuajendio maana sometime naona kama mbway mbway tu nisije nikaenda kujifia kwenye matransformer uko.. π€£ π€£
mmmh hapo ndo tutakuja kukamatana aisee..Aah we jamaaa ni noma sasa si interview zenu mna practical sasa hapo huwa inakuaje
ππaargh sometime naonaga hata wasiponiajili poa tu maana nishasahau kila kitu. kuna siku jagi la kuchemshia maji tu lilizingua nikalifungua kulitengeneza ile nimeliwasha huo mlipuko wake niliruka kidogo nivunje mguu...
πππUpo busokelo niniππππ€£ ee Mungu babaππ
Ngoja waje wakupe muongozoNaomba kuuliza hivi kama ushaajiriwa lakini unataka kufanya interview ajira portal ile cover letter inayopitia kwa DED ni lazma ioneshe tarehe