Hapo sasa ndio waseme wao walikotoa hao waalimu aisee waalimu wana kazi sana moto unawaka kama wapo tamisemi vile vile tuDatabase ipi ya tamisemi ?? Mana huku Utumishi hawakuwepo
labda ni wale walofanya tareh za mwanzoni ndo wamepangiwaHapo sasa ndio waseme wao walikotoa hao waalimu aisee waalimu wana kazi sana moto unawaka kama wapo tamisemi vile vile tu
Ngoja waje waalimuH
labda ni wale walofanya tareh za mwanzoni ndo wamepangiwa
Walimu wa mathematic na physics wamefanya oral moja kwa moja kwanzia tarehe 14/01Ngoja waje waalimu
Tuwe wapole tu mkuu walimu washakuja kwa kasiUtumishi kama kuna kosa niliwakosea nisameheni.
Kwanini utumishi wanatumia muda mrefu kuniita kazini😭😭😭???
Daah kwenye pdf la walimu ndio kulikuwa na post yangu niliyopiga oral ila nimeliwa kichwaTuwe wapole tu mkuu walimu washakuja kwa kasi
Bado yanaendelea kutoka unaweza ukaunganishwa humoDaah kwenye pdf la walimu ndio kulikuwa na post yangu niliyopiga oral ila nimeliwa kichwa
NdioKwahiyo ni kweli ni majina ya walofanya juzi hapo??
Tulia wewe monkey nenda suggestion box yao pale watumie hii msg watakujibu baada ya mudaUtumishi kama kuna kosa niliwakosea nisameheni.
Kwanini utumishi wanatumia muda mrefu kuniita kazini😭😭😭???
😭ndio uniite monkey?Tulia wewe monkey nenda suggestion box yao pale watumie hii msg watakujibu baada ya muda
Monkey wa kichina😭ndio uniite monkey?
duh sawaMonkey wa kichina
Matapeli hao.kabla ya oral s huw tunasain namba na sanduku la posta mkuu huend ni huko
Niliushtukia mchezo sikutuma pesaMatapeli hao.
Tuna elimishana humu Kiongozi....Tulia wewe monkey nenda suggestion box yao pale watumie hii msg watakujibu baada ya muda
naona kwa walimu speed imeongezeka kidogo aisee. Hongera yao..Mzigo mwingine umemwagika huko mkachungulie kisha mlete ushuhuda