Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Umekutana na nini mkuu mbona kama maelezo marefu na swali halieleweki
 
Umekutana na nini mkuu mbona kama maelezo marefu na swali halieleweki
 
jobless wenzangu Kuna mchumba hapo wahini fursa haya ya pdf tusubiri mwezi ujao😂😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20221110-195251.png
    43.7 KB · Views: 13
Binafsi nilikua naangalia pdf Kila baada ya lisaa,lakini sahvi nna wiki sipiti kule na sikumbuki,naingia tu huku najua wakitoa mwifwa,Ahmet,wizy [emoji1787] na wengine wataleta taarifa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huu msiba wa Bwana Kanena kwa aina moja ama nyingine lazima utakwamisha baadhi ya mambo.

Matarajio ya aina yeyote ya PDF tuyasogeze mbele
Sidhani kama inaweza kuwa sababu pia istoshe misiba ya kiislam
Huu msiba wa Bwana Kanena kwa aina moja ama nyingine lazima utakwamisha baadhi ya mambo.

Matarajio ya aina yeyote ya PDF tuyasogeze mbele
Sidhani kama inaweza kuwa sababu ww tegemea big suprise kutoka kwao anytime,,,Pia huwa misiba ya kiislam huwa haina mambo mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…