Umesomea niniWadau, Hivi Kuna uwezekano wa kuomba internships kwenye hizi kampuni binafsi/viwanda binafsi pasipo hata wao kutangaza nafasi za internships ?
Maana huku ndo naskia kama ukipata internship ukipiga kazi fresh Kuna possibility ya kupewa ajira permanent.
Na vipi namna yake ya kuomba ni unaenda kuacha vyeti na barua pale reception au unafanyaje wakuu ?
Finance mkuu, kwenye maviwanda nako maybe wanaweza hitaji watu wa finance.Um
Umesomea nini
Wanahitajika ndio lakini kwa uchacheFinance mkuu, kwenye maviwanda nako maybe wanaweza hitaji watu wa finance.
Maana unaweza kukuta kwenye department ya finance kwa kiwanda kikubwa wakawa labda watu6 tu lakini sema kwenye viwanda haangalii taalumu they care much on experienceWanahitajika ndio lakini kwa uchache
Yes, Usisubiri Tangazo.Wadau, Hivi Kuna uwezekano wa kuomba internships kwenye hizi kampuni binafsi/viwanda binafsi pasipo hata wao kutangaza nafasi za internships ?
Maana huku ndo naskia kama ukipata internship ukipiga kazi fresh Kuna possibility ya kupewa ajira permanent.
Na vipi namna yake ya kuomba ni unaenda kuacha vyeti na barua pale reception au unafanyaje wakuu ?
Sema kwenye viwanda kuonana na hr huwa ni ngumu sana tena sio kidogoYes, Usisubiri Tangazo.
Andaa CV vzr na copy ya vyeti jitahidi kuwa na confidence nenda ktk ofisi husika (omba kuonana na Manager wa Rasilimal watu) then.. Ongea nae kwa uchache shida yako kama ni muelewa atakupa maelekezo nini cha kufata.
Usikabidhi document zako kiholela.
Fata taratibu za Registry kama itahitajika kufanya hivyo.
Kaa baada ya wiki nenda kafanye Follow up kama majibu yametoka au Laa..
Jitahid kuandika Barua ya maombi iliyojitosheleza
Sawa mkuu, shukrani sanaπMaana unaweza kukuta kwenye department ya finance kwa kiwanda kikubwa wakawa labda watu6 tu lakini sema kwenye viwanda haangalii taalumu they care much on experience
Asante sana mkuu ngoja nitazurula kwenye viwanda binafsi na makampuni binafsi hapa mkoani maana najuwa purukushani sio nyingi kama dsm, chochote kitakachotokea fresh tu Cha MUHIMU kupambana.Yes, Usisubiri Tangazo.
Andaa CV vzr na copy ya vyeti jitahidi kuwa na confidence nenda ktk ofisi husika (omba kuonana na Manager wa Rasilimal watu) then.. Ongea nae kwa uchache shida yako kama ni muelewa atakupa maelekezo nini cha kufata.
Usikabidhi document zako kiholela.
Fata taratibu za Registry kama itahitajika kufanya hivyo.
Kaa baada ya wiki nenda kafanye Follow up kama majibu yametoka au Laa..
Jitahid kuandika Barua ya maombi iliyojitosheleza
Asante sana mkuu ngoja nitazurula kwenye viwanda binafsi na makampuni binafsi hapa mkoani maana najuwa purukushani sio nyingi kama dsm, chochote kitakachotokea fresh tu Cha MUHIMU kupambana.
Mkuu ngoja tupambane tu maana huko utumishi hakueleweki aseeSema kwenye viwanda kuonana na hr huwa ni ngumu sana tena sio kidogo
Yes kila la heri kiongoziMkuu ngoja tupambane tu maana huko utumishi hakueleweki asee
Yeye aseme ana shida ya kiofisi. Asiende pale aseme anatafuta kazi etc.Sema kwenye viwanda kuonana na hr huwa ni ngumu sana tena sio kidogo
Yaaah Mkoan competition ndogo. Uhitaji mkubwaAsante sana mkuu ngoja nitazurula kwenye viwanda binafsi na makampuni binafsi hapa mkoani maana najuwa purukushani sio nyingi kama dsm, chochote kitakachotokea fresh tu Cha MUHIMU kupambana.
Duhh mkuu Sasa hapa mbona Kuna kama kaugumu ukianza kuwadeceive siku za kwanza tu si wataanza kudoubt integrity yako ?Yeye aseme ana shida ya kiofisi. Asiende pale aseme anatafuta kazi etc.
Akishaonana na Hr Ndio aongee nae vzr tena Manager. Sio hawa officer's
Labda atafute detail vizuri za huyo manager labda wa sales amjue jina then akishaenda pale aseme anataka kuonana na meneja fulani wa sales nna shida nae yakiofisi labda anaweza kukubaliwa ,lakini wanakuwaga na milolongo sana kumruhusu mtuYeye aseme ana shida ya kiofisi. Asiende pale aseme anatafuta kazi etc.
Akishaonana na Hr Ndio aongee nae vzr tena Manager. Sio hawa officer's
Poa poa mkuu ngoja tujaribu asee naandaa docs na letters za kutosha nikianza kuzurula na boda boda nahakikisha nimepitia sehemu za kutosha asee.Yaaah Mkoan competition ndogo. Uhitaji mkubwa
Pangilia vzr documents na uandishi mzuri wa Barua
Mzee baba mimi niko selected for oral sijui nimewakosea nn badala niwe selected for jobππππWaseme tu hiyo kazi niachie mimi hapa wote nitahakikisha mpo kwenye pdf hata kwahizi anonymous utakuta Mwifwa Prok Ahmet sema ery mendez huyu nitakata jina kwanza status yake ipo not selected
Kwani hiyo si ishu ya kiofisi au ni ishu Binafsi? Hujaongopa kitu kwanza ni credit kwamba una CONFIDENTIAL discipline.Duhh mkuu Sasa hapa mbona Kuna kama kaugumu ukianza kuwadeceive siku za kwanza tu si wataanza kudoubt integrity yako ?
Baba jeni bye bye hapo hakuna job umeishia oralππππππππMzee baba mimi niko selected for oral sijui nimewakosea nn badala niwe selected for job
Environmental scanning is obvious gud hasa hasa ukiwa na specific target.Labda atafute detail vizuri za huyo manager labda wa sales amjue jina then akishaenda pale aseme anataka kuonana na meneja fulani wa sales nna shida nae yakiofisi labda anaweza kukubaliwa ,lakini wanakuwaga na milolongo sana kumruhusu mtu