Hahahaa, ile ya septemba 6 ee?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hiyo tumetoka Kukandwa pale udom afu matokeoa wakatoa saa saba za usiku nilitukania usiku mzima asubuhi nikapandq shabiby kinyonge sana
Unadhani kwenye oral mdada akimlegezea panelist jicho wakati anang'ang'ana kujibu, huoni panelist atakuwa kashatekwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Siyo mbinu mzee, mkigongana marks na msichana anachukuliwa msichana.
😂😂😂😂😂Hahhhh ile walitoa majibu usiku sana sasa nikawa nawaza pale 50 siwezi kukosa afu akili inaniambia aah usisome mpaka uone matokeo ,yakaja kutoka saa6 sijui nikaona nilale tuHahahaa, ile ya septemba 6 ee?
Hapo ndipo nilianza kusikia maneno "mtumbwi wa vimbwengo, kukandwa"
😂😂😂😂daaah afu kumbe inawezekana wanatumia njia za kivitaUnadhani kwenye oral mdada akimlegezea panelist jicho wakati anang'ang'ana kujibu, huoni panelist atakuwa kashatekwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nawaza tu kwa herufi kubwa
Duuuuh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh Prok alikuja analia tukamkaanga nakumwambia anywe maji basi aeleze vizuri
Naamini mdada hawezi kukaza sura kama midume endapo mambo yakianza kwenda kimbwengo kimbwengo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaah afu kumbe inawezekana wanatumia njia za kivita
😂😂😂😂😂Hahhhh midume mambo yakianza kukandana lazima utoe machoNaamini mdada hawezi kukaza sura kama midume endapo mambo yakianza kwenda kimbwengo kimbwengo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Pdf ya placement imekaribia maana yake hapo washachuja na kupata walifaulu na zile waliokosa ndio hizo zimerudiwa ....hivyo soon tu mambo yatakuwa kweupe . Jobless get readyNaona Re-advertised post za vyuo walizokanda watu zimemwagwa kwa portal
😂😂😂😂HahhhhJumaanne inakaribia wadau wenye suti waendelee kupiga pasi
Unajua nilichojifunza humu jf watu Wana roho mbaya sana mkuu ,Yani unaweza kukuta mtu anajua kitu lakini hata kumuelekeza mtu hatakiIla wadau tuacheni masikhara haya mambo ya kazi yana usiri sana ndan yake yan haiwezekan hii jf ikakosa Watu ambao walifanya Oral MUCE na wakapigiwa simu na kuripoti kazini lakin nao uzi Wetu wanauona bt hata kututonya kuwa tumepigiwa simu na Watu tushaenda kituo cha kazi.
Wapo ila ile kasumba ya ukishapata unasahau na wengine ndiyo inayowasibu.Ila wadau tuacheni masikhara haya mambo ya kazi yana usiri sana ndan yake yan haiwezekan hii jf ikakosa Watu ambao walifanya Oral MUCE na wakapigiwa simu na kuripoti kazini lakin nao uzi Wetu wanauona bt hata kututonya kuwa tumepigiwa simu na Watu tushaenda kituo cha kazi.
Kila mwaka watu wanapiga mikando Utumishi ila kutoa muongozo humu hakuna.Unajua nilichojifunza humu jf watu Wana roho mbaya sana mkuu ,Yani unaweza kukuta mtu anajua kitu lakini hata kumuelekeza mtu hataki
Mambo yanaenda yakubadirika, na hata namna usahili unavoendeshwa na maswali yanavyokuja hubadilika badilika sana, tusiwe na mtazamo "negative" sana.Kila mwaka watu wanapiga mikando Utumishi ila kutoa muongozo humu hakuna.
Jana nilikuwa naperuzi placements za mwaka 2020, nikakuta wapo wanalamba Asali NAOT(watu wa CPA na ICT) tangu August mwaka huo, na placement yao haikucheleweshwa sana(written ilikuwa May, placement June, kazini August) huenda PSRS ilikuwa haijatingwa kama sasa.
Pamoja na ofisi hiyo kuwa busy ila hatujawahi kusikia miongozo ya mikando kutoka kwa watu kama hao waliopitia mikando.
Japo watu wanaweza wakawa busy pia na mambo ya kukuza uchumi binafsi ila hilo haliwezi kuniaminisha kuwa hawapo humu JF.
Chonde chonde tukipata asali kupitia humu, tuendelee kutoa miongozo kwa wengine.
Kwa hiyo tuseme hata idadi ya maswali, muda wa kufanya, kujibu short and clear napo panabadilika? hizi information ni muhimu, wengi wetu tuliokuwa hatujawahi kufanya tulipoenda tukajikuta tunaandika ma essay na tukachezea za kichwa, laiti tungepata muongozo wa kuwa unatakiwa uende direct kwenye point ingekuwa poa sana.Mambo yanaenda yakubadirika, na hata namna usahili unavoendeshwa na maswali yanavyokuja hubadilika badilika sana, tusiwe na mtazamo "negative" sana.
Kuna miaka ilikua ukiingia katika usahil kukutana na maswali ya research ni kawaida, naona mwaka huu imekua sivyo, wanasema kila usahili ni "experience mpya".
Kuna mdau alishawahi pandisha uzi akijaribu kujenga hoja kuwa namna sahili zinavyoendeshwa sasa, zinawabeba sana fresh from collages/universities kwa kuwa paper zinabase sana katika videsa. Kwa maana hiyo huwawia vigum wenye uzoefu mda mrefu kazini na waliomaliza shule kitambo kushindana katika pace sawa na freshers.
Na tukumbuke pia wengine huamini kuwa, "Mafanikio ni siri, na siri ndio mafanikio".
Kabisa, kuna raia hizo hizo post za NAOT walishiriki mwaka 2020, na mwaka huu pia lakini si ajabu zote mtu akashindwa kuingia hata oral.Kwa hiyo tuseme hata idadi ya maswali, muda wa kufanya, kujibu short and clear napo panabadilika? hizi information ni muhimu, wengi wetu tuliokuwa hatujawahi kufanya tulipoenda tukajikuta tunaandika ma essay na tukachezea za kichwa, laiti tungepata muongozo wa kuwa unatakiwa uende direct kwenye point ingekuwa poa sana.
Hata kama mambo yanabadilika kuna baadhi hayabadiliki, na haya ndio tunapaswa kujuza wengine
Ambayo hayabadiliki "basics" inatarajiwa kila mtu amefundishwa collage katika communication skills. Namna ya kuandaa application letter na hata basics za usahili.Hata kama mambo yanabadilika kuna baadhi hayabadiliki, na haya ndio tunapaswa kujuza wengine