Mambo yanaenda yakubadirika, na hata namna usahili unavoendeshwa na maswali yanavyokuja hubadilika badilika sana, tusiwe na mtazamo "negative" sana.
Kuna miaka ilikua ukiingia katika usahil kukutana na maswali ya research ni kawaida, naona mwaka huu imekua sivyo, wanasema kila usahili ni "experience mpya".
Kuna mdau alishawahi pandisha uzi akijaribu kujenga hoja kuwa namna sahili zinavyoendeshwa sasa, zinawabeba sana fresh from collages/universities kwa kuwa paper zinabase sana katika videsa. Kwa maana hiyo huwawia vigum wenye uzoefu mda mrefu kazini na waliomaliza shule kitambo kushindana katika pace sawa na freshers.
Na tukumbuke pia wengine huamini kuwa, "Mafanikio ni siri, na siri ndio mafanikio".