Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

ningesoma ualimu Mimi jamani Kwa kweli
Huenda ningekua nakula asali mie🀣
 
Basi sawa mkuu
 
Kila Mtu Na Riziki Yake Huwezi Jua.
Utapata Wapi.
Kikubwa Jobless Wakomae Nazo Zikitoka Na Uibake Haswa Hiyo Interview Couz Kuja Kupata Tena Vacancy Ya Kufanya Usaili Na Kutoboa Ni Kipengele.
Mkiona Kimya Msawacharure Sna Utumishi Maan Mambo Mengine Yapo Njee Ya Uwezo Wao.
Mambo Ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯.
 
Asante mtu wa utumishi kuja kutupa madini ya kutosha nimesoma yote na nimeelewa hatuwasemi Tena SEMA mpunguze kutukanda kidogo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ningesomaga ualimu asaivi ningekuwa headmaster mamaeee
***** mie ningekua hata mbeya huko mwalimu nipo nalima na mpunga kama wote dadeki gunia kama mia 600 ndani aisee nikaenda kusoma vitu vinataka interview Sasa SEMA huyu jobless mwifa SI amesoma afya huyu au Ajira za mkupuo haombagi yeye
 
Sasa wanataka waongeze iwe mwaka 1(data base)
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kwahiyo mambo ni fire ,sasa kujitahidi tu tunajitahidi nakupambana kweli kweli placement ndo inatukwamisha mzee
 
***** mie ningekua hata mbeya huko mwalimu nipo nalima na mpunga kama wote dadeki gunia kama mia 600 ndani aisee nikaenda kusoma vitu vinataka interview Sasa SEMA huyu jobless mwifa SI amesoma afya huyu au Ajira za mkupuo haombagi yeye
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mwifwa anaombaga tu sema tatizo hana mjomba Tamisemi hahhh
 
Sema kaka hivi zile status vipi za kwenye portal na app?hazieleweki nadhani utakuwa na uelewa nazo kidogo ukipata nafasi ya kazi ile status inakuwaje
 
Sema kaka hivi zile status vipi za kwenye portal na app?hazieleweki nadhani utakuwa na uelewa nazo kidogo ukipata nafasi ya kazi ile status inakuwaje
Ni kweli haziwez kukosa maana kabisa, yaan muda wote mtandao uwe unacheza tu, why we know whether mtu umeprogress hatua ya oral au laah kupitia status. πŸ˜‡
 
Ni kweli haziwez kukosa maana kabisa, yaan muda wote mtandao uwe unacheza tu, why we know whether mtu umeprogress hatua ya oral au laah kupitia status. πŸ˜‡
Zingekuwa hazina maana basi zingekuwaga hazituoneshi kuwa umekuwa selected for oral nimesoma programming kidogo naelewa unapoprogramme system kila kitu kina maana yake aseeh hata mkato unamaana
 
Ni kweli haziwez kukosa maana kabisa, yaan muda wote mtandao uwe unacheza tu, why we know whether mtu umeprogress hatua ya oral au laah kupitia status. πŸ˜‡
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kwamba mtandao umeyumba kwako tu afu umeyumba mwezi mzima au sioπŸ˜‚
 
Zingekuwa hazina maana basi zingekuwaga hazituoneshi kuwa umekuwa selected for oral nimesoma programming kidogo naelewa unapoprogramme system kila kitu kina maana yake aseeh hata mkato unamaana
Ulisoma programming unakata uwe Mack utengeneze Facebook Yako umeishia kuwa jobless tu🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…