Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kumbe kuna Watu wanafaidi sana hiz pesa,
hv na Rais naye anapewaga hizi pesa maana yeye na timu yake wanasafir mpaka bhaaas

Ndo maana watu wanapambania mkate wa taifa mkuu

Ndugu yetu mwifwa baada ya muda mfupi atakuwa mbali sana maana hio taasisi yake kwa safari tu inatosha kumlisha mwaka mzima
 
Hahahahaaaa.

Wale wenye wajomba huko wakipata waanza kuzisusa na kurudi kuja kupambama huku Utumishi tena, sijui mrija wa tamisemi mchungu!!
Kuna mwamba alipigiwa simu kabisa akaripoti kazini maisha sio fair
 
Serkali ipunguze maposho yasio na ulazima kusave pesa na wananchi wengine waajiriwe tufaidi sote keki ya taifa
Hata wewe ungekuwa huko usingewaza hivi, kule ni kutamu mkuu asikuambie mtu!!!
 
Alivuruga mfumo wa ajira mpk ss mambo magumu nyomi kubwa mno lipo kitaa
Kati ya vitu vilivyonifanya nimchukie yule mzee, ni hili la kujaza jobless mtaani bila kuwa na njia ya kulitatua.
 
sure aseeh asaivi ningekuwa nimeoa kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akafanya nikaachwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kati ya vitu vilivyonifanya nimchukie yule mzee, ni hili la kujaza jobless mtaani bila kuwa na njia ya kulitatua.
Yani alitukusanya halafu hakuwa na plan yajinsi gani atatuondoa mtaani
 
Hapo ndo huwa sielewi yule mzee hela alikuwa anazitoa wapi aseeh
Si mlikuwa mnamtukana eti mr kucheka cheka mara Vasco da Gama ,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa mtakula mlipopeleka mboga , ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Sio kuachwa tu ni kuachwa kwa maneno makali demu ananiambia una gari wewe?haya na tukipata watoto hao watoto watakula degree?mamaeeee hahhhh πŸ˜‚
 
Si mlikuwa mnamtukana eti mr kucheka cheka mara Vasco da Gama ,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa mtakula mlipopeleka mboga , ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Tumekoma sisi tumekoma kwakweliii tusamehewe sanaa
 
Serikali hayo magepu ndo inayataka ili ipunguze kulipa mishahara jobless wewe hayo magepu hayana faida kwako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji189][emoji189][emoji189][emoji189][emoji189][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hicho kitu kilichokosewa walielezwa? na kweli kilikuwa kimekosewa?
 
Hii komenti imezunguka sana kwenye serikali ya oblongata wangu hapa ikiwa inachambiliwa neno kwa neno[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…