Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
Kumbe kuna Watu wanafaidi sana hiz pesa,
hv na Rais naye anapewaga hizi pesa maana yeye na timu yake wanasafir mpaka bhaaas
Ndo maana watu wanapambania mkate wa taifa mkuu
Ndugu yetu mwifwa baada ya muda mfupi atakuwa mbali sana maana hio taasisi yake kwa safari tu inatosha kumlisha mwaka mzima