Nakubali mkuu,, Huyu mtu akaifanya hivyo itakuwa roho ya kinyama tu.. na siku asijiroge kupita site zangu lazima nimpasue manati[emoji16][emoji16]Sasa mkuu anizinguuue kwa kosa gani. wakati barua inanitambulisha tu.
Na Trh 6. naenda nayo Dodoma tenaa.
Sasa mkuu anizinguuue kwa kosa gani. wakati barua inanitambulisha tu.
Na Trh 6. naenda nayo Dodoma
Inakutambulisha Kuwa tarehe flan ulikua unakaa mtaaa flani je Bado unakaa mtaaa huo Kama umehama je
UsijaribuKama nina photocopy ya kitambulisho cha nida vipi watakubali
Ajaribu kuwasiliana nao maana namba za usaili huwa wanaweka kwe account yake na hata kule kwe written atatumia namba hiyo na si jina kesi hiyo inamana hana nambaWakuu kuna mdau kawa shortlisted kwenye PDF , ile anaenda kwenye akaunti yake Ajira portal akakuta wanasema hajawa shortlisted kwa sababu haja certify cheti kimoja cha baraza , hii kesi anai solve vipi aweze kupatiwa namba ya mtihani wakuu ??
Lazima wabandike picha na ipigwe na mhuriKumbe inatakiwa iwe na picha mkuu..?
Bado mkuu, tuvute subiraHivi zile za NAOT vipi kaka zimetoka?
Mimi nishawekewa, ebu angalia huenda washawekaNo za usaili washaweka kwani kwenye account?
PamOja sana kakaBado mkuu, tuvute subira
Kama kweli hajacertify…afanye hivo haraka alafu awatafute utumishi wampe nambaWakuu kuna mdau kawa shortlisted kwenye PDF , ile anaenda kwenye akaunti yake Ajira portal akakuta wanasema hajawa shortlisted kwa sababu haja certify cheti kimoja cha baraza , hii kesi anai solve vipi aweze kupatiwa namba ya mtihani wakuu ??
Watu wanapiga misulisiku tulivu kabisa
Tulivu na utulivu wakesiku tulivu kabisa
mpk September 3 lolote linaweza tokea.Haya sept hii apa
Chochote kipo njiani mkuu amini hilompk September 3 lolote linaweza tokea.
maana hii August ilipita bila mkeka wa Placement.
Kumbe vijana tunamatumainiChochote kipo njiani mkuu amini hilo
Uwanja wa placement ushasafishwa kumebaki matangazo mawili tu na hilo jipya kukamilisha yawe matatuKumbe vijana tunamatumaini
Nani kakwambia Mkuu..?Mda wowote placement
Tuone tarehe 1 ya SeptemberUwanja wa placement ushasafishwa kumebaki matangazo mawili tu na hilo jipya kukamilisha yawe matatu
Mkuu Sensa si imeshaishaa..Nani kakwambia Mkuu..?