NdioBsc imeanza kutolewa juzi tu udsm sio?
Mbona umeamka na jazibaTushasema PDF ndio mchawi wa mwisho baada ya Oral, endeleeni tu kukomaa na status
😅😅😅😅😅Mbona umeamka na jaziba
HahhhhhMbona umeamka na jaziba
Hahahahaaa.Kama ni zile post 3, watu walipigiwa simu mwezi uliopita. Mwanangu mmoja naye aliitwa akakacha interview ya NAOT ya 27Oct. Waliitwa watu 50 na wilaya yake walipangwa wanne.
Hahahahaaa, sina jazba ila huo ndio ukweli na mimi humu nishajipanbanua kuwa sio muumini wa status baada ya Oral.Mbona umeamka na jaziba
sawa kaka tupo pamoja kuielekea asaliHahahahaaa, sina jazba ila huo ndio ukweli na mimi humu nishajipanbanua kuwa sio muumini wa status baada ya Oral.
Mtaoa sabuni vijanaWanawake wanapeta tuu zama zao hizi
Sana aseeh nimeliona hili jamboWanawake wanapeta tuu zama zao hizi
Angalia kwenye app mzee afu tupe jibuRafiki yangu aliyepata nae status inasoma shortlisted
Yule JOBLESS huko juu aliyesema ukiingia oral na wanawake, andika maumivu ila labda pawe na nafasi nyingi na wanawake wawe wachache, sasa imeanza kuthibitika.Wanawake wanapeta tuu zama zao hizi
Status hazina ishu baada ya oral, tuiamini PDF na kuvutiwa waya tuRafiki yangu aliyepata nae status inasoma shortlisted
SawaStatus hazina ishu baada ya oral, tuiamini PDF na kuvutiwa waya tu
Shortlisted maana yake umefaulu oral unaweza kupata au kubak kanzi dataRafiki yangu aliyepata nae status inasoma shortlisted
Pole ndugu Haukua wakati wako..naamini utapata tu muda ukifikaWale wa status m ilikuwa inaandika shortlisted nimekosa
AiseeWanawake wanapeta tuu zama zao hizi
Tushasema PDF ndio mchawi wa mwisho baada ya Oral, endeleeni tu kukomaa na status