Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kama ni zile post 3, watu walipigiwa simu mwezi uliopita. Mwanangu mmoja naye aliitwa akakacha interview ya NAOT ya 27Oct. Waliitwa watu 50 na wilaya yake walipangwa wanne.
Hahahahaaa.

Haya mambo ya simu sidhani kama yana mwisho mwema.

Watu wamekaa kusubiri PDF kumbe wengine hadi cheque namba washapewa.

Tukiendelea kulichekea hili jambo, mbeleni litatugharimu. Watu kupachikwa kwa mtindo huu ni rahisi sana, PDF watu huwa tunajuana huko kwenye oral na tukija kuona jina la fulani ambaye hakuwepo(ingawa wanaweza kusema katoka kanzi data) lazima tutahoji.
 
Wanawake wanapeta tuu zama zao hizi
 

Attachments

  • SmartSelect_20221115-081255_Adobe Acrobat.jpg
    SmartSelect_20221115-081255_Adobe Acrobat.jpg
    62.6 KB · Views: 7
Back
Top Bottom