Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ttzo wanatoa nafsi nying kwa post ambazo watu weng hawana qualifications post zinabki wazi...ingekua ni TA wasingereadvtse post zote hizo
Kitu kingine wasichokijua ni kuwa,watu wanasoma Master na PhD wakiwa tayari wana kazi zao, ili kujinoa vizuri kwa ajili ya kazi anayoifanya, jambo hili linafanya watu wenye master wasio na kazi kukosekana.
 
Vipi na alie andikiwa Not Shortlisted na amefika oral
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ