Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkinipa mamlaka ya kusummarize mjadala mrefu, naweza kusema mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kutoka utumishi moja kwa moja kuhusu suala la status.

Ila simu na PDF ndivyo vimeonekana ni hitimisho la kweli. Kwa kuongezea zaidi, ikitangulia PDF hutakuwa na haja ya kusubiri simu kwa hamu, ila kwa upande mwingine ukisikia imetangulia simu na wenzako wamepigiwa kasoro wewe, achana na kusubiri PDF fanya mambo mengine.
 
Ndio kilichobaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…