Matumizi yake ni sawa na matumizi ya kitambulisho cha Kura, Leseni ya udereva, Passport ya kusafiria.Hiyo barua ya utambulisho WA mkazi ina umuhimu gani kwenye sahili za ajira za serikali Kule Dodoma ?
PLus kama hauna kitambulisho Cha NIDA pia unatumia hiyo barua ya utambulisho wa mkaziMatumizi yake ni sawa na matumizi ya kitambulisho cha Kura, Leseni ya udereva, Passport ya kusafiria.
Kama hauna vitambulisho hivyo vyote basi utatumia barua ya utambulisho wa makazi
Hawa wanaoenda leo Wana interview lini mkuu?Mnaosafari leo mungu awatangulieni sanaaa
kidogo umenitia moyo maana nilikuwa napata mashaka kulikoni sijaitwanina imani hadi August 12 mzigo unaweza achiwa, ukiona kimya tenaa tusubiri Sensa ipite...
umenena vyema,nimechoka kuona neno received tu kwangu,bora wasema ukwelHawa jamaa kuna mchezo wanatuchezea nadhan,mfano kuna zile nafasi za TPA walizoita watu kazini tarehe 12.7.2022,tangazo limeondolewa makusudi kabisa na pia kwenye status za waliokua wameomba izo nafasi na kuitwa oral kule kwenye account zao wameondoa selected na imekua kama hazijawahi kuitwa kwa ajili ya interview,ni kama kulikua na udanganyifu.
Na pia kuna nafasi walitangaza toka mwezi wa tano around yatehe 28 hadi leo ni received to kwa status.Watwambie tu basi ukishaomba uwe mtulivu maana wametangaza kwa bahati mbaya tu hazina haraka.
Mimi Nina leseni ya udereva na passport basi si naweza tumia kama vitambulisho pale Utumishi au sio ?Matumizi yake ni sawa na matumizi ya kitambulisho cha Kura, Leseni ya udereva, Passport ya kusafiria.
Kama hauna vitambulisho hivyo vyote basi utatumia barua ya utambulisho wa makazi
Yeah unaweza kutumia pasi shaka yoyoteMimi Nina leseni ya udereva na passport basi si naweza tumia kama vitambulisho pale Utumishi au sio ?
Inskatisha tamaa ila ngoja waje wazoefuWakuu nimeona hapa PSRS website majina ya nyogeza leo. Naomba kuuliza huwa inakuwaje kunakuwa na majina ya nyongeza au ndo watu wenye "connection" wanatafutiwa nafasi?!
Kuna saili zitaendesha taasisi mbali mbali kuanzia tarehe 5 hade 9 september hao ndiyo wanasafiri leo kuelekea eneo husikaHawa wanaoenda leo Wana interview lini mkuu?
Hapana sio connection maana hata mimi nipo kwenye hayo majina walikosea kuniandikia not shortlisted na sababu waliandika sijasaini barua wakati nimesaini nikawapigia simu wakaangalia kwenye system wakakuta sina makosa wakaniambia nijjiandae na interview watarekebisha na ndio hayo majina sasa unayoyaona hapoWakuu nimeona hapa PSRS website majina ya nyogeza leo. Naomba kuuliza huwa inakuwaje kunakuwa na majina ya nyongeza au ndo watu wenye "connection" wanatafutiwa nafasi?!
Kila jema kwako mungu akutangulieHapana sio connection maana hata mimi nipo kwenye hayo majina walikosea kuniandikia not shortlisted na sababu waliandika sijasaini barua wakati nimesaini nikawapigia simu wakaangalia kwenye system wakakuta sina makosa wakaniambia nijjiandae na interview watarekebisha na ndio hayo majina sasa unayoyaona hapo
Nipe no zao na mmHapana sio connection maana hata mimi nipo kwenye hayo majina walikosea kuniandikia not shortlisted na sababu waliandika sijasaini barua wakati nimesaini nikawapigia simu wakaangalia kwenye system wakakuta sina makosa wakaniambia nijjiandae na interview watarekebisha na ndio hayo majina sasa unayoyaona hapo
🙏🙏 Mkuu, Sikua nafahamu.Kuna saili zitaendesha taasisi mbali mbali kuanzia tarehe 5 hade 9 september hao ndiyo wanasafiri leo kuelekea eneo husika
Mbn mkuu mimi namba zao nikiwacheki huwa hawapokeeeiHapana sio connection maana hata mimi nipo kwenye hayo majina walikosea kuniandikia not shortlisted na sababu waliandika sijasaini barua wakati nimesaini nikawapigia simu wakaangalia kwenye system wakakuta sina makosa wakaniambia nijjiandae na interview watarekebisha na ndio hayo majina sasa unayoyaona hapo
Zipo kwenye website yaoNipe no zao na mm
Nilipiga zaidi ya mara 20 aisee kama bahati tu kupokelewa ila jaribu hii 0736005511 na iwe siku za kazi na saa ziwe za kazi nje ya hapo haipatikaniMbn mkuu mimi namba zao nikiwacheki huwa hawapokeeei
Ndio, tumia kimojawapoMimi Nina leseni ya udereva na passport basi si naweza tumia kama vitambulisho pale Utumishi au sio ?