Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ila uko sawa, wale wote wa selected for oral itarudi tu shortlisted mchakato wao ukishamalizika
Ndio lakini kule kwenye app ndo inakuletea mapicha picha huko ndo unakutana na maajabu😂😂😂😂
 
Naona yule jamaa aliesema status ni kwamba mchakato umekamilika alikua right, leo jamaa wa selected for oral imerudi shortlisted...so wote shortlisted saivi.
Post zenu zilikua ngapi na oral mlikuwa wangapi mzee
 
Benge nafasi zipi hizi ambazo bado? Kama ni MWANDISHI RASMI WA TAARIFA ZA BUNGE, KATIBU, UGAVI, DAKTARI, MADEREVA n.k tulishafanya written & oral wale waliobahatika walishaitwa kazini wiki tatu baada ya usaili . ..waliwai sana nadhan walikuwa na uhitaji mkubwa
agricultural officer grade 11 - ministry of agriculture post zimetangazwa agasti kipindi cha sensa. Mchumi - za MDas + za ASa marketing +Economist post mkuu
 
Jobless inabidi tuelewe jambo moja katika kutafuta huku kwetu ajira wale ambao familia inawategemea wao ili waikomboe katika dimbwi la umaskini kwa hiyo ajira yoyote utakayoipata kkwahiyo mtu wa upande huu usijiloge ukatae kazi kisa mazingira ,utaitesa familia yako na wazazi wako
Pia Kuna wale ambao wao wanaitegemea familia katika kila Jambo hawa jobless wao huchagua kazi na mazingira kwakuwa hakuna chochote ambacho familia inawetegema kwahiyo jobless fanya maamuzi angalia na familia yako ipoje
noted champ. Hali tete kitaa msosi wa manati mageto ,maji ndio kabisaa.
 
Back
Top Bottom