Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Daaaah
Mimi hadi naona aibu na sijui kosa langu lipi!
Hadi naona soo kuchangia kwenye magroup ukizangatia mm ndo nilikuwa mbabe wao!
Kweli maisha ni kombolela
Tukiachana na hawa tuliomaliza nao chuo, kuna wale tuliowaacha primary/olevel(ambao hawakufaulu), sasahivi washatusua ila sisi na degree zetu aibu tupu.

Life lina mambo ya kibabe sana
 
kwa sasa hukumwambia akupe connection kiwandani
 
wakuu hii kitu ya kuitwa jobless kuna watu inawaathiri kupitiliza kuna mwamba amejinyonga na kuacha barua lakini muda mrefu alikuwa akilalamika na kusema kwamba maisha ya tanzania yapo corrupt kila sehemu na haoni sababu ya kuishi,
jamaa ni graduate wa sheria na alikuwa law school ,na malalamiko yake yalizidi baada ya matokeo ya law school kutoka na kukutwa amekandwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa mzee unanunua gari sio tena chombo cha usafiri kama ist
Yaani pamoja na degree zetu unaweza ukakuta imefika 40 kwenye hatua ambayo huwa wanasema maisha huanza, ila ukawa bado bila bila hata IST unaiona tu barabarani ikiwa inaedeshwa na watoto waliohongwa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
aseeeh
 
Yaani pamoja na degree zetu unaweza ukakuta imefika 40 kwenye hatua ambayo huwa wanasema maisha huanza, ila ukawa bado bila bila hata IST unaiona tu barabarani ikiwa inaedeshwa na watoto waliohongwa[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahhhhh Kwamba watoto waliohongwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jobless wenzangu mngenipigia pande kwa Prok nijibebee mwanasheria[emoji23]

Naona pasi zilikuwa zinaelekezwa kwako ila Prok akatumia mbinu za kiwakili kukujaza upepo kama mtuhumiwa na kweli ukapoteana.

Basi ndugu wakili akaiambia Mahakama kupitia hakimu tukushuhudie namna unavyotetemeka na kuwawakilisha vibaya majobless wa Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…