Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nipo sema post zote za TAEC na OUT zinafanyika muda mmoja aseeh daah
Mkuu asali utalamba tu mwaka huu au ujao mwanzoni na mtu aliye na received hata mbili kwenye account uwezekano wa kulamba asali ni Mkubwa sana aisee maana wadau washatoa sana hint za interview zilivyo kufeli Sasa Ina asalimia chache sana kuliko kufaulu usail

NB:HAPO UNAFANYA IPO SASA
 
Ngoja niandae nauli nikawakande sasa sema shida nikeitwa post tatu afu zote muda mmoja😬😬😬😬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…