πππππHahhhhh sijui hata wapi kuna hela ngoja waje waseme hapa TAEC ni PGSS 7 na OUT ni PUTS 1.1 ambayo niliambiwa ni kama 1.6mil sasa sielewi lakini OUT nafasi 4 tumeitwa kama 40 na taec nafasi 10 tumeitwa 500 ππAngalia unono wa Hela mkuu(Subaru Zina bei sana) na wingi wa uhitaji wa watuπ€£π€£ kwenye taasisi husika
Tangu mwezi wa naneNa zile za AICC zilitokaga pamoja
Hizo nadhani bado hizi walizotangaza ni za juneTangu mwezi wa nane
Mie nishauliza hapa ptss 7 ni bei Gani hadi Leo majibu Sina dahπ€£πππππHahhhhh sijui hata wapi kuna hela ngoja waje waseme hapa TAEC ni PGSS 7 na OUT ni PUTS 1.1 ambayo niliambiwa ni kama 1.6mil sasa sielewi lakini OUT nafasi 4 tumeitwa kama 40 na taec nafasi 10 tumeitwa 500 ππ
ππππNa watu wapo wanajua lakini wamekaushaMie nishauliza hapa ptss 7 ni bei Gani hadi Leo majibu Sina dahπ€£
Hivi hiyo mfano 1.6 take home inaweza Baki 1mil au wanakata sana mkato hawa jamaaaπππππHahhhhh sijui hata wapi kuna hela ngoja waje waseme hapa TAEC ni PGSS 7 na OUT ni PUTS 1.1 ambayo niliambiwa ni kama 1.6mil sasa sielewi lakini OUT nafasi 4 tumeitwa kama 40 na taec nafasi 10 tumeitwa 500 ππ
Noma mkuuππππNa watu wapo wanajua lakini wamekausha
Kwenye 1.6 nadhani itabaki 1.1 au 1.2Hivi hiyo mfano 1.6 take home inaweza Baki 1mil au wanakata sana mkato hawa jamaaa
Hongera bro,na zote eneo Moja au?Nipo sema post zote za TAEC na OUT zinafanyika muda mmoja aseeh daah
Ndio tatizo zinafanyika muda mmoja sasaHongera bro,na zote eneo Moja au?
Ila kama wanajua watuambie tu aisee,mi nataka kujua ptss 10 wakuuππππNa watu wapo wanajua lakini wamekausha
Zingekua oral ingewezekana kama kufanya zote bro tatizo kama ni writtenNdio tatizo zinafanyika muda mmoja sasa
Ngoma zinaanzia written Yani Vurugu tupu ni mwendo wa mateka tuπZingekua oral ingewezekana kama kufanya zote bro tatizo kama ni written
Kweli watupe detail tujueIla kama wanajua watuambie tu aisee,mi nataka kujua ptss 10 wakuu
Fanya uende mkuu kwa hzo ratio kutoka nje nje ukikaza mfano hyo ya 4:1 -OUT na hapo bado mchujo wa written bado.πππππHahhhhh sijui hata wapi kuna hela ngoja waje waseme hapa TAEC ni PGSS 7 na OUT ni PUTS 1.1 ambayo niliambiwa ni kama 1.6mil sasa sielewi lakini OUT nafasi 4 tumeitwa kama 40 na taec nafasi 10 tumeitwa 500 ππ
Pamoja kiongozi ngoja nipambaneFanya uende mkuu kwa hzo ratio kutoka nje nje ukikaza mfano hyo ya 4:1 -OUT na hapo bado mchujo wa written bado.
Kwa hyo ukikaza hapo Oral unaenda vizuri kabisa, na ratio inazidi kuwa rafiki zaidi.
Hongera sana mkuu,Jobless mnipe ushauri kidogo nina saili tatu zote zinafanyika wakati mmoja mbili niza OUT nafasi zipo 4 kwa kila post lakini tumeitwa watu 36 na mshahara ni puts 1.1
Na nyingine nimeitwa TAEC nafasi zipo 10 tumeitwa watu 500 salary ni PGSS7
Sasa sielewi nikafanye ipi hapo nipo hovesππππ
daaah kweli aseehHongera sana mkuu,
Naomba uweke kipaumbele katika usaili ambao unaona una asilimia kubwa ya kutoboa.
Muda huu si wa kuangalia mshahara wakati bado upo nje ya Circle.
Kafanye ya TAEC mkuuNipo sema post zote za TAEC na OUT zinafanyika muda mmoja aseeh daah