Haziendi bure! Utajenga kwa mshahara?!Hatubishani mkuu mie nataka nijue tu wanavyokokotoa hizo riba ulizosema wewe ili nijue kama nakopa au sikopi siwezi kukopa 20m nije kulipa 35+m mie ndani ya miaka 7 yaani 15+m ziende Bureπ€£π€£π€£
Atajenga baada yakustaafuHaziendi bure! Utajenga kwa mshahara?!
Hivi wakitangaza unaweza kurudia tena kuomba kama ulikandwa?Msipofaulu Oral(wasipopata mtu sahihi) wanarudia kuitangaza
Mke tena? PoleMkopo kama huna tegemezi achana nao tu na kama unataka ufanye biashara basi uwe na mke ndo asimamie biashara tofauti na hapo tulia save tu Baada ya miaka 5 unakuaa na kitu
Unamjengea nani karibu na kifoAtajenga baada yakustaafu
Watoto mimi ntaishi mbinguniπππππUnamjengea nani karibu na kifo
Mke tena? Pole
Mke tena? Pole
Mkuuu unapiga hesabu gan wewe jamaaa hivi ukisave 400k kila mwezi Kwa mda wa miaka 6 unakosa Hela ya kujenga? Karibu 28milion ebu niambie benki gan itakupa Hela hiyo ya 28milion??? Mkuu Kwa mfanyakazi mwenye Mashahara wa 1m na point? Hakuna haipo utaulipa Kwa Miakaa mingapi mkuu? Kwa maelezo hayo ni kuwa kujenga Kwa mshahara inawezekana kuliko kujenga Kwa kukopaHaziendi bure! Utajenga kwa mshahara?!
Save utakuja kutupa mrejeshoMkuuu unapiga hesabu gan wewe jamaaa hivi ukisave 400k kila mwezi Kwa mda wa miaka 6 unakosa Hela ya kujenga? Karibu 28milion ebu niambie benki gan itakupa Hela hiyo ya 28milion??? Mkuu Kwa mfanyakazi mwenye Mashahara wa 1m na point? Hakuna haipo utaulipa Kwa Miakaa mingapi mkuu? Kwa maelezo hayo ni kuwa kujenga Kwa mshahara inawezekana kuliko kujenga Kwa kukopa
Hahaha matokeo ya trh 4 Nov yalikuwa ya oral au written?? ....usiache kuangalia status MwifwaHahahaaa.
Received na Shortlist nishazimaliza.
Sasahivi ubao unasomeka Not Selected for Oral Interview.
Moja tu ambayo imenipa matumaini ilikuwa Selected for Oral Interview, ila tangu matokeo ya kuitwa Oral tarehe 4 Novemba, sijachungulia Status na nimeapa sitaiangali hadi pdf ya Asali itakapotoka
Nahisi yupo kweny Received au Shortlisted πππVijana wa hovyo mnajadili mishahara wakati placement hazijatokaππππ
ππππstatus yanini Tena tulisema hazina ishuHahaha matokeo ya trh 4 Nov yalikuwa ya oral au written?? ....usiache kuangalia status Mwifwa
Katika vitu unabidi kuviogopa ni mikopo ,save 10 % mpaka 20% ya mshahara wako. Baada ya miaka 5 mpaka 7 ,unapata kufanya malengo yako...Narudia tena kukopa sherehe, kulipa ni matanga.Mkopo kama huna tegemezi achana nao tu na kama unataka ufanye biashara basi uwe na mke ndo asimamie biashara tofauti na hapo tulia save tu Baada ya miaka 5 unakuaa na kitu
Hahahaha mkuu kukopa kununua gari ni simple sana kuliko kukopa kujenga so tutakopa tununue gariπ€£π€£π€£π€£Vijana wa hovyo mnajadili mishahara wakati placement hazijatokaππππ
Kweli mie ni jobless ila najua kuwa kukopa ni hatari sana mie mkopo sitaki nitasave Kwa miaka 6 mkuuuKatika vitu unabidi kuviogopa ni mikopo ,save 10 % mpaka 20% ya mshahara wako. Baada ya miaka 5 mpaka 7 ,unapata kufanya malengo yako...Narudia tena kukopa sherehe, kulipa ni matanga.
ππππππ Basi tuwe tunaangalia placement bas ...Maana haujui Upo kanzidata au haupo ... Tuendelee na maandalizi ya received ππππππstatus yanini Tena tulisema hazina ishu
Yes,kuzipokea raha sana Hela. za mkopo, kurudisha sasa! Ila Kuna hatua fulani Ili ufikie mikopo haikwepeki, hasa Wana wenye dream ya kuwa billionaire kama mimi.Ukitaka kukopa unabidi ujiulize swali hili .Endapo nitashindwa rejesha Kwa njia niliyo kusudia, back up (plan b) ya kurudisha mkopo ninayo?Kweli mie ni jobless ila najua kuwa kukopa ni hatari sana mie mkopo sitaki nitasave Kwa miaka 6 mkuuu
Unaomba bila shidaHivi wakitangaza unaweza kurudia tena kuomba kama ulikandwa?