Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Jamaa ana taaluma gani? Sociology au community development maana hawa wamekula sana shavu hapa kati....unaweza kuitwa kanzi data bila kupigiwa simu au alikua anakuchora tu?!
 
Wapambanaje wenzangu naomba mnipe direction hii kumbi inaitwa 'Udom- CBSL THEATRE 2" niko na jambo langu hapo kesho.
Mbarikiwe sana wapambanaji[emoji120][emoji120][emoji120]
Hongera sana mkuu.

Kama unatumia usafiri wa umma, ukishuka tu kwenye basi utakuta kuna bajaji na boda boda za kutosha. Ni wewe kuwaambia tu unaelekea wp.

Hawa madereva wanajua majengo yote ya hapo UDOM, nauli yake kwa boda ni buku ila sababu huwa wanaona watu wageni wanawaambia 1500-2000. Na kwa bajaji ni 500 mnapanda wa nne.

Wahi mapema sana kama mtihani ni asubuhi jitahidi saa moja uwe pale utakuta wenzio wengi pia hata bila kuuliza utajua tu kwan weng mtakuwa mnaelekea sehemu moja.

Kila la kheri ndugu.👊🏼👊🏼
 
Kuna jamaa pia namfahamu alifanyaga oral ya NHC mwezi huo na placement ya kanzi data alilamba asali RUWASA.

Kuna watu wana bahati sana, unakuta mtu mambo yashamnyokea, akipiga written anatusua, akienda oral anakuta imo na kuendelea na maisha yake taratibu.

Ila sisi wengine tunaoshindia maji ya kandoro,wengi wetu tunakandwa hadi tukandika kisawasawa kabla ya kutoboa, huku tukiacha utitiri wa madeni ya nauli za PSRS
 
Hao boda/bajaj nauli huwa wanapandisha kiboya sana.

Niliwahi kuambiwa nauli ni buku kwa bajaj kutoka kwenye ile kona ya Utumishi hadi Asha Rose Migiro, nilikataa nikasema bora nipande boda kwa nauli hiyo ya buku.
 
Wakuu any ideas ya maswali ya written admission officer,msaada kwenye tuta
Niliona mdau katuma hapa(kama sijakosea), alikuwa ameandika kwenye karatasi akatuma picha,tafuta utayaona.

Pia pitia ule uzi wa maswali unaweza kuokota machache
 
Asante sana ndugu
 
Hao boda/bajaj nauli huwa wanapandisha kiboya sana.

Niliwahi kuambiwa nauli ni buku kwa bajaj kutoka kwenye ile kona ya Utumishi hadi Asha Rose Migiro, nilikataa nikasema bora nipande boda kwa nauli hiyo ya buku.
Kwani Kuna tofauti ya jengo/Maeneo kati utumishi na ofisi za dk Asha Migiro.?
 
Tusife moyo mwanangu Mwifwa ndio Maana tunasema ukibahatika kwenda oral ,jitahidi kutoboa au ikishindikana ndio tuangukie kanzidata ...japo muda mwingine usahili inategemeana na jinsi ulivyojiandaa na jinsi maswali uliyokutanayo na kuyakanda kwa kofindensi ,,ili ikitokea Upo kanzidata una marks nyingi iwe rahisi kutoboa siku za usoni ,,tujitahidi sana aisee
 
Naamini humu wengi tutakula shavu tu sio muda wala msiwe na hofu
 
Inauma unafika oral na hutuboi dah maana kufika orala nyingne ni jambo gumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…