Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ulifanya Usaili Na Unauhakika Ulifanya Vizuri Kwnye Huo Usaili.
Maan Ukitoka kwny Usaili N muhimu Kufanya Marejeo Mwenyew Je Ulikuwa Right au Wrong Kiac Gani.
All in All Kuwa Right Zaidi Haikupi Uhakika wa Kuwa kwny Pdf Ya Placement maan kuna factor nyingine watazingatia kwny kutoa pdf.
Ila Hakikisha Unatembelea na Kuangalia Kila Tangazo La Kuitwa kazini Taasisi Mbalimbali Za Umma.
 
Kwny Ile Pdf Ya Tra Iliyotokaa Ya watu 1200+
Kuna Mwamba Alifany Usaili Taasis X Baada ya Kuona Wanaohitajika Wameitw kazini Akawa Anafocus na Job Vacant Tyu Maan Aliamini Placement ndo Bhac amekosa.
Mimi Niliona jina Lake Lilikuwa chini kabis na Taasis Tofauti,Nikasem bado mapema nitampigia Simu Baad ya Siku Kadhaa Nimpe Hongera Na Maongez Mengine.
Nampigia Simu Siku Kama ya Leo Yeye Yupo Moshi Hana habari. Na Keshokutwa ndo mwisho wa Kuchukua Barua.
Alishukuru Sanaa Maan Alikuwa Hajui Chochote khs kuitwa kazini.
Yupo kazini Alianza May 2022.
 
Watakuwekaje kwenye placement through kanzidata bila kukupigia simu na muda mrefu unakua umepita? Utajuaje Kama umo?
Mkuu ebu naomba uelewe hivi.

Kuwekwa kanzidata ni jukumu la PSRS endapo umefaulu Oral na umekosa nafasi kwa muda huo(zilie mlizokuwa mnazipambania wakati unafanya Oral). Placement ya ikitoka waliopata wataonekana kwenye PDF na wale ambao hawajapata wanakuwa kwenye makundi mawili.

1. Ambao hawajafikisha marks za ufaulu wa Oral(hawa hawawekwi kanzidata, ndio imeisha hivyo wataendelea kuomba zingine)

2. Ambao wamefaulu na kukosa nafasi(hawa wanawekwa kanzi data na watapangiwa vituo vya kazi pindi nafasi zikipatikana)

Note: Wote namba 1 na 2 hapo juu baada ya placement ya kwanza hamtajua kama mumefeli au mpo kwenye kanzidata.

Placement ya Kanzidata ikitoka na ukajiona umo, ujue ulifaulu na ukawekwa kanzidata, kama hautaona jina lako basi ujue hukufaulu kabisa.

Kwa hiyo kinachotujulisha kuwa uliwekwa kanzidata ni placement tu au kupigiwa simu kuitwa kazini.
 
Kupigiwa simu labda endapo unahitajika kazini kwa haraka na mwajiri wako
 
Ahsante kwa muongozo mh mkandaji[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Hivi hamna nafasi zingine za kazi hasa upande wa afya tuzifanyie maombi kwa kufungia mwaka?
 
Mzee uwepo wako hapa katika uzi huu unazalisha matumaini makubwa sana kwa wasaka asali barikiwa sana tena mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…