Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Then badae tunalalamika utumishi hawatangazi Ajira unaenda Fanya interview hausubili matokeo unarudi dar kumbe ndo ilikua nafasi Yako JINA lako mie nalimark mkuu siku nikikuona unalalamika hapa patachimbika aisee we ngoja tu[emoji34]
Atabadili ID tu[emoji3][emoji3]
 
wakuu nimechagulia oral post zote mbili halafu mda wake ni mmoja
hapa huwa inakuwaje nichagueee sehemu moja tu niache tamaaa au.. kuna mbinu nyengine
Mimi pia ilinitokea nimefaulu kwenda oral mbili na zote zilikuwa zinafanyika wakati mmoja hivyo Basi nikiwaeleza wasimamizi wa usaili wakanipangia sehemu moja nikawa wa kwanza nilipotoka hapo nikapelekwa upande wa pili nikamalizia nyingine bila kukaa foleni yoyote, hivyo Basi hongera na inabidi upige zote mbili maana umetoa jasho lako kubwa kufika hapo

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hahaha! Yani Mkuu jobless hana haja ya kujitambulisha, usoni tu huwa kila kitu kinajionesha, tena kwenye masuala yanayohusu kumtoa pesa ndio kabisa huwa anatemeka.

Sasa pata picha aulizie bei ya gari kisha baada ya kutajiwa aulizwe kwani yeye ana kiasi gani amejiandaa nacho? Hapo kigugumizi chake sio cha kawaida.

Na wengine wakishakusoma huna pesa hata kitu cha milioni kumi ukisema una laki na nusu anakwambia sawa leta hiyo pesa. Ilimradi ushindwe kutoa ili akufokee kwa kumpotezea muda.
 
Yah ni advantage ya kua kwenye city, nasafiri usiku! Nimepata encouragement kutoka kwa jamaa aliyekuua ana Subiria baadae akaondoka coz majibu yalibidi yawe mchana yametoka saa 2 usiku! So now yupo mbey nae anaitafuta Dom!
Sail zangu zote nimeenda dom night (moja ilikuwa saa 5 usiku na nyingine ilikuwa saa 6) usiku ndio natoka Dar then saa 12 asbh niko dom nimefanya hivyo zaidi ya mara moja (moja kati ya hizo ilikuwa kipindi shule zinafungua mwezi wa tisa usafiri ulikuwa wa shida balaaa pale ubungo kibo) nilichofanya nilitafuta gari ya moro chap nikatinga moro then moro kwenda dom huwa 24Hrs gari za private zipo ni wewe tu na 15k-20k kulingana na hali ya usafiri

Hadi now ninavyo andika Nipo kwenye gar now usiku huu napambana saa 7 kasoro (Napenda kusafir usiku)
 

Attachments

  • IMG-20221127-WA0024.jpeg
    IMG-20221127-WA0024.jpeg
    455 KB · Views: 8
Back
Top Bottom