Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

May b
Lakin kwetu wakat wa usaili walitangaz moja kati ya vitu vitavyokufanya usiruhusiwr kufanya interview ni ukiwa mjamzito hutaruhusiwa kuingia kwenye interview room
Au wanaogopa anaweza kupata mfazaiko unaweza kupelekea akapta uchungu wa gafla nini
 
May b
Lakin kwetu wakat wa usaili walitangaz moja kati ya vitu vitavyokufanya usiruhusiwr kufanya interview ni ukiwa mjamzito hutaruhusiwa kuingia kwenye interview room
Hii mpya na sijawahi iona, wajawazito wanafanya usaili kama kawaida.

Mimi last month tarehe 22 hadi 24 October nilifanya usaili wa NPS na tulikuwa na watu wa MDA & LGA. Kulikuwa na wajawazito na wanaonyonyesha kwenye written hadi oral.

Kwenye panel yetu oral, kulikuwa na mjamzito na anayenyonyesha....yule mtu wa sekretariat akatangaza kuwa kama kuna wenye dharura hizo watapewa kipaumbele. wakapewa nafasi ya kuchagua waingie nafasi ya ngapi..Na kweli waliingia mapema mmoja mtu wa 3 na mwingine wa 5, mapema tu.

Tunasubiria placements tu now..
 
Hii mpya na sijawahi iona, wajawazito wanafanya usaili kama kawaida.

Mimi last month tarehe 22 hadi 24 October nilifanya usaili wa NPS na tulikuwa na watu wa MDA & LGA. Kulikuwa na wajawazito na wanaonyonyesha kwenye written hadi oral.

Kwenye panel yetu oral, kulikuwa na mjamzito na anayenyonyesha....yule mtu wa sekretariat akatangaza kuwa kama kuna wenye dharura hizo watapewa kipaumbele. wakapewa nafasi ya kuchagua waingie nafasi ya ngapi..Na kweli waliingia mapema mmoja mtu wa 3 na mwingine wa 5, mapema tu.

Tunasubiria placements tu now..
Kweli juzi tu hapa tulikua migiro hapo for MDA na mjamzito alikuepo na akafanya oral wa kwanza
 
Back
Top Bottom