Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
D
DuhSail zangu zote nimeenda dom night (moja ilikuwa saa 5 usiku na nyingine ilikuwa saa 6) usiku ndio natoka Dar then saa 12 asbh niko dom nimefanya hivyo zaidi ya mara moja (moja kati ya hizo ilikuwa kipindi shule zinafungua mwezi wa tisa usafiri ulikuwa wa shida balaaa pale ubungo kibo) nilichofanya nilitafuta gari ya moro chap nikatinga moro then moro kwenda dom huwa 24Hrs gari za private zipo ni wewe tu na 15k-20k kulingana na hali ya usafiri
Hadi now ninavyo andika Nipo kwenye gar now usiku huu napambana saa 7 kasoro (Napenda kusafir usiku)