Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bado hujasahau tu hili
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimepiga sana pale na kwa ngaiza ilikuwa ukinitingisha tu nakushushia kitini chote na page swali lilipo hahhhh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mgote nimepiga Heat, Wave na Electronics ndiye aliyenifanya niipende Phyz ya Advance na ndio somo lililoniinua pamoja na Chemia, Bios nilikuwa Ihefu.
 
mkuu hata mimi kuna mtu nimefall kwake
 
Kuna jaama alipata pale haikuandika shortlisted ilibaki selected for oral kwahiyo nikaconclude zile za vyuo huwa hazifati hatua zote kama za utumishi
Kwenye hii issue ya Shortlisted au Selected for oral binafsi nasimama na ndugu yangu wizy.

Huyu jamaa πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘† hii issue alishaifanyia case study kabisa na anakuwa na mifano ya kutosha ya watu waliofanikiwa na kukosa.

Salute broπŸ‘ŠπŸΎπŸ‘ŠπŸΎπŸ’―
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…