Genuine raf
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 673
- 1,804
Jana wadau walitoa muongozo mkuu Rudi juu kidogo utakutana nao,ila kiufupi ujiandae utapewa muda wa kuandaa topic of your choice then utapata muda wa kuifundisha na utaulizwa maswaliOya wadau Hivi kwenye usaili wa hizi tutorial assistant maswali yake yanakuwaga vipi ?
Namaanisha yale ya oral interview maana naona watu wanaitwa direct mpaka kwenye oral yaani hakuna written so kama kuna mwenye experience ya oral interview za tutorial assistant afunguke Ili watu wajue pa kuanzia.
YesJana wadau walitoa muongozo mkuu Rudi juu kidogo utakutana nao,ila kiufupi ujiandae utapewa muda wa kuandaa topic of your choice then utapata muda wa kuifundisha na utaulizwa maswali
Mkando WA moto na lile baridi LA hapo, wacha tusubiri tokeo hope tutatukuwa vzr tu God bless usVip mkando? Taasisi gan mkuu
Ikawe hivyo sasaMwezi wa wa placement mbali mbali
Watu waanze kazi mapema sana 2023Ikawe hivyo sasa
Yan toka ulivo nambia placement january ss hv sna kimuhe muhe tena mana akili nimeibadili kama antena kuwa tukutane january kwenye placementIkawe hivyo sasa
ππππNyie wa November na October Subirini january huko wa September ndo tunasubiri mwezi huuYan toka ulivo nambia placement january ss hv sna kimuhe muhe tena mana akili nimeibadili kama antena kuwa tukutane january kwenye placement
Uhakika tuuage Ujobless sasa tuanze kuheshimika kwenye vikao vya familiaWatu waanze kazi mapema sana 2023
ππππoya ushaanza kutuwangia sasa hahhh hebu tuliaHakuna wote ni januaryπ wakotoa wanatoabkwa mfululizo miez hii ni special kwa intervie january for placement amin nkwambia
πππππππoya ushaanza kutuwangia sasa hahhh hebu tulia
πππHawawezi kuja humu ,huku wanatumia majina mengine huwezi wajuaJaman Sekretarieti ya Ajira jitahidini huu mwez mutoe placement tu enjoy na sis
Kijana wa hovyo sana weweππππJaman Sekretarieti ya Ajira jitahidini huu mwez mutoe placement tu enjoy na sis
muhim ujumbe umefikaπππππHawawezi kuja humu ,huku wanatumia majina mengine huwezi wajua
πππKijana wa hovyo sana weweππππ
ππππWatakata jina hahhhmuhim ujumbe umefikaππ
hawawez fanya hivo wale wanajitahdi kufanya kazi nzuri ,,, hongereni Sekretarieti ya Ajira sas kidogo mnarudisha matumaini ya watu tusio na connection kwenye ajiraππππWatakata jina hahhh