ann056
Senior Member
- Nov 7, 2021
- 183
- 245
kongole umechana mzee had ,kuwa n amani relax andaa suti kakaSelected for null Hadi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kongole umechana mzee had ,kuwa n amani relax andaa suti kakaSelected for null Hadi sasa
Mwanaume wangu anaweza shuhudia hilo. Kila kitu kina nafasi ake na tunasaidiana[emoji23]
Hongera sana mkuu, nasi wengine tunasubiri zamu zetu! Mungu akuongoze katika utumishi wako
Mkuu hizi nazo ni za August-September? Mwezi huu zikitoka walau placements nne tunaweza kufikiwa wa October au ikawa January.Next ADEM,DIT,Mwalimu nyerere,mweka....tuendelee na uvumilivu wale wanaosbria mkeka wa placement
Hongera Sana mkuuMimi nilfanya oral tu...baada ya mda kwenye app ikaandka selected for null na Web ikabaki shortlisted...Imetoka pdf nimo!
Hongera sana,na hii kutoa feedback nimeipenda kwani inawa-inspire na ku-encourage wenzio kujiamini,kupambana huku wakiwa confident kuwa Kupata kazi kupitia PSRS siyo lazima uwe na the so called 'know who',Bali ni weledi,juhudi za mhusika katika maandalizi huku ukimtanguliza Mungu mbele ambaye hutoa ridhiki majira yake yakifikaAmeen na nawaombea ambao hawajapata wapate wote
YahMkuu hizi nazo ni za August-September? Mwezi huu zikitoka walau placements nne tunaweza kufikiwa wa October au ikawa January.
Oral mlifanya wangap kiongoz? Na kabla haijaandika selected for null kwenye app awali ilikuaje?!Mimi nilfanya oral tu...baada ya mda kwenye app ikaandka selected for null na Web ikabaki shortlisted...Imetoka pdf nimo!
Shukran ndugu[emoji120]Hongera Sana mkuu
Oral tulifanya watu tisa nafasi moja...kabla ilkua Shortlisted..Niliwacheck watu 3 ambao nlifanya nao wao baada ya kuchange kua SELECTED...wao waliekewa NOT SELECTEDOral mlifanya wangap kiongoz? Na kabla haijaandika selected for null kwenye app awali ilikuaje?!
Kwahyo ukiona kweny APP Not selected for null ni mkando NDOIGE, uenda upo benchi/kanzidata [emoji23][emoji23][emoji23],,ila ukiona selected for null kweny APP uenda umekula mchongo.... yote kwa yote subria placement uone yaliyomo yamo au holaOral tulifanya watu tisa nafasi moja...kabla ilkua Shortlisted..Niliwacheck watu 3 ambao nlifanya nao wao baada ya kuchange kua SELECTED...wao waliekewa NOT SELECTED
Ni assistant lecture?au kada ya non academicOral tulifanya watu tisa nafasi moja...kabla ilkua Shortlisted..Niliwacheck watu 3 ambao nlifanya nao wao baada ya kuchange kua SELECTED...wao waliekewa NOT SELECTED
Non teachingNi assistant lecture?au kada ya non academic
Hii inasikitisha sanaKwahyo ukiona kweny APP Not selected for null ni mkando NDOIGE, uenda upo benchi/kanzidata [emoji23][emoji23][emoji23],,ila ukiona selected for null kweny APP uenda umekula mchongo.... yote kwa yote subria placement uone yaliyomo yamo au hola
Pole sana kiongozi...kua na imani usikatishwe tamaa na hizo statusHii inasikitisha sana
Eeh Mungu nufanye niwe wa kwanz kuitwa kwenye placement nikiwa na NOT SELECTED kwenye app.
I believe..na yakatimie[emoji4]Mkuu, naiona zamu yako inakuja. Pamoja na wasiwasi ulionao, lakini naamini placements hazitoacha kutaja jina lako.
Utunze huu ujumbe wangu kama kumbukumbu.
Naomba link ya ku download hii app. Au inapatikana wapiHii inasikitisha sana
Eeh Mungu nufanye niwe wa kwanz kuitwa kwenye placement nikiwa na NOT SELECTED kwenye app.
Yeah watu wanadanganyana sana Kuhusu kupata kazi, mfano pale taasisi wahitimu wao walikuwa wengi sana lakini almost wote walikandwa na watu kutoka vyuo vyengine ndio wamepata nafasiHongera sana,na hii kutoa feedback nimeipenda kwani inawa-inspire na ku-encourage wenzio kujiamini,kupambana huku wakiwa confident kuwa Kupata kazi kupitia PSRS siyo lazima uwe na the so called 'know who',Bali ni weledi,juhudi za mhusika katika maandalizi huku ukimtanguliza Mungu mbele ambaye hutoa ridhiki majira yake yakifika
Tupe experience ss TA kweny mchakato wa oral hapoYeah watu wanadanganyana sana Kuhusu kupata kazi, mfano pale taasisi wahitimu wao walikuwa wengi sana lakini almost wote walikandwa na watu kutoka vyuo vyengine ndio wamepata nafasi