Tempus Fugit
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 850
- 2,212
Naam. Wakati wa Mungu ni wakati sahihi.Haya mambo ya Ajira Utumishi ni Mungu tu ndio anapanga.Unaweza ukajiandaa vizuri written ukapigwa,unaweza enda umesoma kawaida, mtihani ukaja upande wako ukaenda hatua ya pili.
Yote kwa yote Kupata kazi Sasa ni Mungu tu kapanga.Yaani ukifika Wakati wako ni unakuwa umefika hakuna wa kuzuia.
thanks champHaikuwa bahati kiongozi
Upo sahihi kiongozi wakati ukifika hakuna chakuzuiaHaya mambo ya Ajira Utumishi ni Mungu tu ndio anapanga.Unaweza ukajiandaa vizuri written ukapigwa,unaweza enda umesoma kawaida, mtihani ukaja upande wako ukaenda hatua ya pili.
Yote kwa yote Kupata kazi Sasa ni Mungu tu kapanga.Yaani ukifika Wakati wako ni unakuwa umefika hakuna wa kuzuia.
Tuishi humo hamna kukata tamaathanks champ
ila mkuu pepa ilikua normal kinoma upande wangu naishangaa results.na katika wanangu sita ni mwanangu mmoja tu kaingia oral mbili. inanivunja moyo lkn pia inanijenga kuwa mybe kuna vipengele nimechomaTuishi humo hamna kukata tamaa
Ubarikiwe sana kaka nimekuelewa na nimekupata vyema sanaHakuna changamoto ila hayo mawili(ambayo mostly ni kwenye vyeti) lazima yawe sawa na kwenye cheti cha kuzaliwa na NIDA
Mfano.
Vyeti: JOBLESS HATHAMINIKI
Cheti kuzaliwa/NIDA: JOBLESS HATHAMINIKI MTAANI
Hapo hakuna utata.
Utata utakuja endapo.(Angalia utaofauti kwa makini halafu uniambie huo utofauti)
Vyeti: JOBLES HATHAMIKI
Cheti kuzaliwa/NIDA: JOBLESS HATHAMINIKI MTAANI
Zile pepa ukiyumba kidgo umepotea mzee zinataka uwe makini sana tena sana unaweza kulielewa swali tofauti ukajibu mengineila mkuu pepa ilikua normal kinoma upande wangu naishangaa results.na katika wanangu sita ni mwanangu mmoja tu kaingia oral mbili. inanivunja moyo lkn pia inanijenga kuwa mybe kuna vipengele nimechoma
Hongera kiongoziHatimae mtoto kutoka familia ya kimaskini serikali imeniona.
Jamani msikate tamaa Mungu akisema NDIO hakuna wakusema No! Ipo siku jobless wote mtapata ajira [emoji120]
Yeah, aje atupe muongozo wake kwenye upande huo wa status kwenye akaunt yake kwa upande wa app na web hali ilikuaje na iko vpHongera kiongozi
Umepata taasisi gani?
Na status ilikuwaje kwenye account yako mkuu?
Yes tutapata tu maana ya hizi statusYeah, aje atupe muongozo wake kwenye upande huo wa status kwenye akaunt yake kwa upande wa app na web hali ilikuaje na iko vp
next time bloodZile pepa ukiyumba kidgo umepotea mzee zinataka uwe makini sana tena sana unaweza kulielewa swali tofauti ukajibu mengine
Hizi pepa kabla ya kwenda fatilia ushauri wa watu utakusaidia
Status ilikuwa inasoma selected for oral na bado haijabadilikaHongera kiongozi
Umepata taasisi gani?
Na status ilikuwaje kwenye account yako mkuu?
Hii selected for oral imekuja juzi baada ya majina kuwekwa kwenye pdf Nataka kabla ya hapo iliandikajeStatus ilikuwa inasoma selected for oral na bado haijabadilika
nimechezea kipigo kikali sana ASa Marketing. ngoja nione pdf itasema nimescore ngapi ,ila account nina not selected for oral wakuu
Post gani kaka?hebu mwambie kabla hajaenda awe anasema basi tujaribu kumuelekezaNamimi mdogo wangu wamemnyoosha kwa mara nyingine tena. Kwa sasa ameshafanya saili tatu mfululizo na zote hana chake.
Ngoja tusubiri zinazokuja.
wewe jamaa na mambo ya status too much asee huon unaboa asee unataka kusikia kitu gani kila wakat status ilikua inasomaje dah too much aseeHii selected for oral imekuja juzi baada ya majina kuwekwa kwenye pdf Nataka kabla ya hapo iliandikaje
afu balozi nilikuona jana bana