Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?


Duh! Sawa mkuu, kwa usawa huu itabidi bajeti ya kufanya usaili ibaki ya kwenda Dodoma mara moja, zoezi liendelee mwakani Mungu akipenda, hata kama akiitwa zaidi ya mara moja, nitamwambia aangalie anayoamini ana uhakika zaidi.

Ndugu zangu hizi gharama za nenda rudi Dodoma sio za mchezo.
 

Nimeupokea ushauri Mkuu, na nitamuweka sawa dogo.
 
Kuwa na faraja sana, nilikuwa na vikao na maafisa wa Utumishi leo, ikiwezekana hizi saili usifanye sio Written wala Oral, nataka jina lako lionekane moja kwa moja kwenye pdf ya placement.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Aisee kupitia hili la kwako nafarijika sana, nilifikiria nalipitia peke yangu. Kuna muda huwa ananiambia anahisi kama anaonekana ni kilaza, kitu ambacho kinamuumiza sana.

Madogo wakikwama kwenye hizi saili huwa wanadhani wanaumia peke yao, kumbe hata wanaotutegemea huwa tunaumia kwa kuvaa viatu vyao sometimes.

Ngoja niendelee kumjenga kifikra, naamini siku yake ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…