Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sidhani tuwe wakweli kama maswali umeyaelewa utajibu kwa confidence,kama hujui huwezi kuwa na confidence. Panelists hawawezi kukupa marks kwa kujibu uongo kwa confidence unless otherwise panelists hawajui wanachouliza.
Sio uongo typically kuna ule uongo unaendana na ukweli huo ndo tunaongelea na pia Kuna jibu unatoa yani hauna hakika kama ni sahihi au uongo ndicho tunakimaanisha
 
Sidhani tuwe wakweli kama maswali umeyaelewa utajibu kwa confidence,kama hujui huwezi kuwa na confidence. Panelists hawawezi kukupa marks kwa kujibu uongo kwa confidence unless otherwise panelists hawajui wanachouliza.
Kwakweli ukiwa umeelewa na point zipo utajibu kwa usahihi , na kwa confidence sana , ila hata Kama unajua swali ila point hazionekani ni za kuload Kama hakuna mtandao ni kazi sana ,,inakuwa inategemeana na kichwa chako kweny kuchambua vitu

Mfn umeulizwa swali umelielewa ila majibu ni ya kuload Bora umwambie muuliza swali ,,pardon plezz ili ujipange kutafuta point za kuanzia
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Pale maswali huwa yanaeleweka sema point sasa ndo huwa hazipo yani
 
Sema sasa humu tuanze kupeana kipi unahisi kimefanya mtu utoboe au kipi unahisi kimefanya ukwame kwenye oral interview,nafikiri hii itasaidia wengine kujisahihisha wakati mwingine
Naqubal naqubal mie nazan waliotoboa ndio watatupa experience nzuri, yap yakufanya yepi yakutokufanya ndani ya oral za kawaida na za TA ,
Maana kwa mtu alietoboa akikuelezea vzr ,utajitafakr kuangalia mapungufu yako yako wap ,ili next time uyaondoe
 
Naqubal naqubal mie nazan waliotoboa ndio watatupa experience nzuri, yap yakufanya yepi yakutokufanya ndani ya oral za kawaida na za TA ,
Maana kwa mtu alietoboa akikuelezea vzr ,utajitafakr kuangalia mapungufu yako yako wap ,ili next time uyaondoe
Kama utaweza kuongea mpaka mkafanya majadiliano na panel ujue utawin, nilishawah kupata kazi private mara mbili baada ya majadiliano na panel, yaani swali moja wanakuongezea mengine kwenye swali Hilo hilo
 
Kama utaweza kuongea mpaka mkafanya majadiliano na panel ujue utawin, nilishawah kupata kazi private mara mbili baada ya majadiliano na panel, yaani swali moja wanakuongezea mengine kwenye swali Hilo hilo
Mfano wewe umesema mtu anatakiwa aongezewe malipo Kama sehemu ya fidia kucheleweshwa, wakikuliza kuchelewa kwa mda gani, shilling ngap iongezewe, au kwanini ichelewe yaani maswali hayo uulizwe na mkajadili, hata Kama walisema mention dili lipo.
 
Naqubal naqubal mie nazan waliotoboa ndio watatupa experience nzuri, yap yakufanya yepi yakutokufanya ndani ya oral za kawaida na za TA ,
Maana kwa mtu alietoboa akikuelezea vzr ,utajitafakr kuangalia mapungufu yako yako wap ,ili next time uyaondoe
Kweli nafikiri waliotoboa watueleze hapa walifΓ nya nini kwenye oral ili mtu ajue alikosea wapi
 
Mfano wewe umesema mtu anatakiwa aongezewe malipo Kama sehemu ya fidia kucheleweshwa, wakikuliza kuchelewa kwa mda gani, shilling ngap iongezewe, au kwanini ichelewe yaani maswali hayo uulizwe na mkajadili, hata Kama walisema mention dili lipo.
Tatizo utumishi pale napo mpka mfikie hatu yakujadili ni mtihaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tatizo utumishi pale napo mpka mfikie hatu yakujadili ni mtihaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wakisema mention ukawa unaijua point Ila umesahau neno moja la kuibeba iyo point, ukisema kitu kinachoongelea iyo point watakuuliza more ili wajiridhishe kweli unakijua Ila kidogo kumbukumbu imepungua ie pressure ya panel!
 
Mfano wewe umesema mtu anatakiwa aongezewe malipo Kama sehemu ya fidia kucheleweshwa, wakikuliza kuchelewa kwa mda gani, shilling ngap iongezewe, au kwanini ichelewe yaani maswali hayo uulizwe na mkajadili, hata Kama walisema mention dili lipo.
Hizi nazani zinafanyika private labda kweny negotiations za salary ila kwa government Wana salary scale zao Maana ,hata kweny tangazo wanaweka na scale kabisa
 
Wakisema mention ukawa unaijua point Ila umesahau neno moja la kuibeba iyo point, ukisema kitu kinachoongelea iyo point watakuuliza more ili wajiridhishe kweli unakijua Ila kidogo kumbukumbu imepungua ie pressure ya panel!
Kweli hii nishawahi kukutana nayo usipo mention direct lazima wakuchallange kidogo kupima yaliyomo yamoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…