Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

usijarb kk utaitiwa walinzi wakupige makofi watu wapo kazin pale
 
Sahihi kabisa kk watu wasikate Tamaa hata sisi wengne kupita kwenda oral tumefanya sahili Zaid ya 2 au Zaid ya 3 ya nne unajikuta unaenda oral , wengine wanatoa na wengne wanabaki..yote kwa yote
Tusikate Tamaa kweny kupambana kwakwel

Asante sana Mkuu, umeongea ukweli.
 
Hapo kwenye kucheza nao siku nzima[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hahaha. Yani Mkuu wakiwa wameshakukabidhi barua yako ya kupangiwa kazi, unaweza hata kuwaomba ufafanuzi kwamba Mzee Makamba alimaanisha nini aliposema wanaokufa ni watu wabaya na wakigoma kukupa jibu unawaambia huondoki.


Lakini kama hauna barua ya placement mkononi, acha kabisa kuwatania Utumishi, jamaa kwanza na wenyewe wana ndugu zao kibao hawana ajira.
 
Jamani ndugu zangu nimeitwa interview ya TRA naomba msaada wa mtu yoyote mwenye maswali ya ICT officer (developer/programmer) anitumie PM , atakama unamjua mtu aliye wai kufanya interview kwenye kada usika naomba unipatie connection natanguliza shukurani.

Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
 
Writtn hua ni multiple choice 50 na ni language zote,php,java,c++,python,js,angular, jquery soma vyote framework hizo pita vzr
 
Hivi kuwatafuta unawapgia simu au unawafuata?
 
Tafuta uzi wenye jina hili

Cracking utumishi written interview: Maalum Kwa Kada za ICT​

 
Nimeuliza si kwa ajili yangu, mimi hiyo option ilishapita kitambo.
Ni kwa ajili ya wadogo zetu.
Adante kwa ushauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…