Hunter621
Senior Member
- Jul 20, 2016
- 161
- 458
usijarb kk utaitiwa walinzi wakupige makofi watu wapo kazin paleHivi wakuu, baada ya kukandwa pale joponi na Interview panel, ukitaka kuondoka si unaweza kuwaaga tu kwa KISWAHILI na utani kidogo.. kwamba Asantenk sana wakuu na maneno matammatam kama hayo ili kupozea maumivu kidogo ya mkando AU Kuna dhambi wakuu kufanya hvyo..?