Ntaenda tu Mungu akijalia. But kusema ukweli nlishavurugwa tangu mwanzo. Yaan uwa nina kimuhemuhe cha kusubir placement but this one nmerelax kabisa ata sifikirii. Najijua nlivyokuwa that day
Kumekucha huku[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kaziiendelee... Ukiwa kwenye mrija kuna kanguvu unakapata[emoji1787][emoji1787] I wishes nione jina langu siku1 kwenye pdf. Iwishes i wishes sanasanaAsante sana Prok nilitoa ahadi yangu kwako siku nikitoboa nitafika mjinj PM tuyajenge
Acha t kk tunatamani sana 1 day tuone majina yetu pdf tuendlee kuomba mung na kupambanaKumekucha huku[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kaziiendelee... Ukiwa kwenye mrija kuna kanguvu unakapata[emoji1787][emoji1787] I wishes nione jina langu siku1 kwenye pdf. Iwishes i wishes sanasana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Acha t kk tunatamani sana 1 day tuone majina yetu pdf tuendlee kuomba mung na kupambana
Ulifanya oral ya taasisi gani mkuu unayosubiria placement?Acha t kk tunatamani sana 1 day tuone majina yetu pdf tuendlee kuomba mung na kupambana
Usiogope kaka ni suala la muda tuKumekucha huku[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kaziiendelee... Ukiwa kwenye mrija kuna kanguvu unakapata[emoji1787][emoji1787] I wishes nione jina langu siku1 kwenye pdf. Iwishes i wishes sanasana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nakubali kk God bless usAcha t kk tunatamani sana 1 day tuone majina yetu pdf tuendlee kuomba mung na kupambana
Nashukuru kk, Naisubiria hiyo siku [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Usiogope kaka ni suala la muda tu
Vyangu viko kama wewe,ila sijawahi kuzuiwa kufanya usahili.Wakuu habari za Asubuhi.
Poleni na majukumu ya ujobless.
Naomba kuuliza kama kuna tatizo kwenye mpangilio huu wa majina kwenye vyeti vyangu.
Cheti cha O-Level na A- level, jina la kati imeandikwa herufi tuu.
Mfano
Genuine A George
Huku cheti cha kuzaliwa na cheti cha Chuo
Wameandika
Genuine Alive George.
Naombeni nijue kama itahitaji niende mahakamani au viko sawa havina shida.
Hongera sana,Mungu akutangulie,akupe hekima katk mafanikio yako mapya.Alhamdulillaah finally Jobless mzoefu amepata mrija wa asali.
Guys since 2017 napambana na mishe za kuunga unga and finally nimeingia kwenye system inayoeleweka.
Sio rahisi kua Jobless na katika kitu kigumu latika maisha ya mtu ni kukosa kazi maalumu especially kwa mwanaume. Mungu ni wetu sote wakati wa Mungu ni wakati sahihi muda utafika but never give up nishalamba mchanga interview nyingi sana. Mungu ni mwema.
basi itakuwa hamna shida.Vyangu viko kama wewe,ila sijawahi kuzuiwa kufanya usahili.
Ishatoka nimekandwa mkuu hahah naendlea kupambanaUlifanya oral ya taasisi gani mkuu unayosubiria placement?
Hakuna mwenye namba yake?Ametudissapoint sana, placement yao hatujapata mrejesho wowote, wizy alikuwa tumaini la mrejesho ila ndio ikawa hivyo, haijulikani kilichomkuta na wengine waliopata mrija huenda hawapo humu.
Huwa tunafarijika sana tukipata mrejesho maana inatupa moyo wa subira na kupambana zaidi.
Kwanza, ilikuwaje cheti cha chuo kikawa na majina tofauti na vyeti vya shule? maana Admission ya chuo tunatumia vyeti vya shule hasa form 4 ambapo cha Six nacho kinafuata majina ya Form 4.Wakuu habari za Asubuhi.
Poleni na majukumu ya ujobless.
Naomba kuuliza kama kuna tatizo kwenye mpangilio huu wa majina kwenye vyeti vyangu.
Cheti cha O-Level na A- level, jina la kati imeandikwa herufi tuu.
Mfano
Genuine A George
Huku cheti cha kuzaliwa na cheti cha Chuo
Wameandika
Genuine Alive George.
Naombeni nijue kama itahitaji niende mahakamani au viko sawa havina shida.
Asante kwa Ushauri.Kwanza, ilikuwaje cheti cha chuo kikawa na majina tofauti na vyeti vya shule? maana Admission ya chuo tunatumia vyeti vya shule hasa form 4 ambapo cha Six nacho kinafuata majina ya Form 4.
Suluhisho:
Nenda mahakamani/kwa mwanasheria kaandikiwe kiapo cha kuelezea huo mkanganyiko
Placement hii ya jana hujabahatika mkuu? au hukufanya oralDAAH KUPATA AJIRA NI KAZI SANA π π π kazi zinachosha yani maboss muda wowote kinawaka
Sijui mkuu.Hakuna mwenye namba yake?
SawaSijui mkuu.
Mimi sijawahi kuwasiliana naye popote, ni hapa hapa tu kwenye uzi
Ila haujajibu swali languAsante kwa Ushauri.