Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwa hiyo kwa kifupi...
SELECTED FOR ORAL (Green) kwenye app maana yake ujiandae kujiona pdf

Si ndio mkuu?[emoji38][emoji38]

Japokua hizi status mimi sikuwa naziamini tena
 
Sijakuelewa hapa kaka. Mie cheti cha form 4, form 6 na chuo vyote ni majina mawili tu hakuna initial wala nini katikati yaani linasomeka JANUARY YUSUPH. Ila Nida na cheti cha kuzaliwa majina matatu yaani JANUARY YUSUPH MAKAMBA. lakini sijawai zuiwa hata mara moja iwe oral au written
 
Niliwahi ona case humu nahofia tarehe 17 wakanizingua na mimi

Jina cheti 4 na 6 liwe labda Punje Haradari

Jina la kitambulisho cha mpiga kura na kwenye address zote za utumishi liwe Punje Haradari Mkandwaji

Kwenye cheti cha kuzaliwa Punje Haradari

Na kwenye majina ya mzazi kwenye cheti cha kuzaliwa ni Haradari Uredi ( Mkandwaji halipo)
 
Haina shida hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…