Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hapo mimi sijui sasa,nimejibu ninavyojua tu
 
Asilimia nyingi vyeti vyetu vya chuo viko kama vya jamaa, chuo wanatumia majina yote matatu kwenye cheti ila cheti cha olevel na Alevel wanatumia majina mawili na la kati likiwa placed kama initial...haina tatizo hio na hatosumbuliwa popote jambo la kawaida tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie inabidi tu nifungue duka Kariakoo nkimalizana na interview ya TRA, nisahau kabisa utumishi. Nkipataga iwe surprise tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu unapokata tamaa ndo unafanikiwa sasa.

Mimi written yangu ya mwisho ndo nimetoboa kwenda oral.

Alafu oral nikapuyanga sana tu lkn you know what niko very excited na matokeo nione nani ametusua yale maswali yalionitoa kamasi.

Hizo mbugmngi mbili nikikosa basi natulia kidogo kwa mwaka then naanza tena inshallah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sema mimi maisha ya mikiki mikiki mpaka sasa nmezoea. Ata nisipopata ni poa tu
 
Sasa kwa nini utulie mwaka??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekusoma kaka MWIFWA....bila shaka wewe ni muhenga mwenzangu [emoji3][emoji3][emoji3] maana enzi zetu walimu walikuwa wanapenda kutumia majina mawili tu ila siku hizi NECTA hawakubali majina mawili ni lazima matatu full au la kati liwe na initial.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…