Mkuu kama home ni mbali, we komaa wakutengenezee nyingine, nafasi yako huwezi kuikosa na hao PSRS aala hawawezi kufanya huo uhuni kama wanavyofikiria watu wengine humu, Maana kama wangeamua kuuza hyo nafasi mbona hata hilo jina lisingetokea kwenye mkeka na ungewafanya nn..? Kwanza usingejua kuwa umepata kazi.Walianza kuitafuta Kama kwa dakika 10 hivi,
Kisha nd'o wakanipa hayo majibu.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Serikalini kuna bureaucracy mkuu, hio barua kuandaa tena sio tatizo...tatizo linakuja mtu wa ku sign mpaka atie hio sign tena ndo kipengele, mara utaskia kasafiri, mara hiki n.k.Mkuu kama home ni mbali, we komaa wakutengenezee nyingine, nafasi yako huwezi kuikosa na hao PSRS aala hawawezi kufanya huo uhuni kama wanavyofikiria watu wengine humu, Maana kama wangeamua kuuza hyo nafasi mbona hata hilo jina lisingetokea kwenye mkeka na ungewafanya nn..? Kwanza usingejua kuwa umepata kazi.
So kikubwa kuwa mtulivu PSRS watakupatia tu barua yako, Wako na kazi nyingi sana pale hasa hizi na kuandaa barua.. So mistake ndogondogo kama hizi zinaweza kutoa kwa bahati mbaya.
Nakushauri utunze pdf ya placement yenye jina lako kwa matumizi ya mbeleni.Waheshimiwa, mimi na rafiki yangu tumekuja utumishi kuchukua barua zetu za kuitwa kazini.
Rafiki yangu amepata,
Na jamaa mwingine pia amepata.
Ila mimi wananiambia barua yangu hawaioni hivyo niache mawasiliano yangu kisha watanipigia ikishakuwa tayari ili nisafiri tena kutoka mkoa ninaoishi kuja Dodoma kuifuata.
Hii imekaaje wakuu, yaani barua za wengine zipo ila yangu haipo wakati sote tumepata kazi taasisi moja??
Ushauri wenu wadau.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Sijui na sijawahi kusikia ila inawezekanaWangapi waliwahi kukataliwa na waajiri?
Aisee, hiyo ni kali ya mwaka.Waheshimiwa, mimi na rafiki yangu tumekuja utumishi kuchukua barua zetu za kuitwa kazini.
Rafiki yangu amepata,
Na jamaa mwingine pia amepata.
Ila mimi wananiambia barua yangu hawaioni hivyo niache mawasiliano yangu kisha watanipigia ikishakuwa tayari ili nisafiri tena kutoka mkoa ninaoishi kuja Dodoma kuifuata.
Hii imekaaje wakuu, yaani barua za wengine zipo ila yangu haipo wakati sote tumepata kazi taasisi moja??
Ushauri wenu wadau.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Uko sahihi mkuu, sio vibaya pia tukifurahia kila hatua tunayoifanikiwaMhhhh ndio maana nasema haya mambo mpaka ukamilishe na uone mshaara umeingia ndio ufurahi, lakini Kuna mambo mengi yanaweza kutokea kabla ya kulamba asali
Kwani ukiipewa hiyo barua si unaikagua hapo hapo au hawakuruhusu kuikagua?Nahisi inaweza wamei-misplace, au wamempa mtu mwengine kimakosa na huyo mtu hakuikagua, au labda ile barua wameiweka kwenye bahasha yenye jina ambalo sio lako. Makosa ya kibinadamu ni kawaida hapo
Usiipe imani sana kuna watu wasio na nia nzuri pale vilevile ni kuomba Mungu tuuMkuu kama home ni mbali, we komaa wakutengenezee nyingine, nafasi yako huwezi kuikosa na hao PSRS aala hawawezi kufanya huo uhuni kama wanavyofikiria watu wengine humu, Maana kama wangeamua kuuza hyo nafasi mbona hata hilo jina lisingetokea kwenye mkeka na ungewafanya nn..? Kwanza usingejua kuwa umepata kazi.
So kikubwa kuwa mtulivu PSRS watakupatia tu barua yako, Wako na kazi nyingi sana pale hasa hizi na kuandaa barua.. So mistake ndogondogo kama hizi zinaweza kutoa kwa bahati mbaya.
Sifaham hili.Kwahiyo mkuu mimi ambaye nimeandikiwa not selected for null ndo sina bahati et ee?
Wapo.Sijui na sijawahi kusikia ila inawezekana
Unaikagua, lakini mwengine anaweza akaichukua tu bila hata kuifunguaKwani ukiipewa hiyo barua si unaikagua hapo hapo au hawakuruhusu kuikagua?
Bado hakijaishaUzi wetu wa kusubiri placement..
tutegeee mkeka ujaoo uta base na watu gan??
maan naona kam kile kijiji cha August na Sept UTUMISHI wamekimaliza
We ni mlamba asali kiongoz?!Wapo.
Pole mno kaka, kwa kweli huko ni kitokuthamini gharama ulizotumia kufika hapo na vile vile ni kukuweka kwenye msongo wa mawazo . Kwann kama jina lilitoka kwenye pdf barua isiwepo? Maswali ni mengi sana..Waheshimiwa, mimi na rafiki yangu tumekuja utumishi kuchukua barua zetu za kuitwa kazini.
Rafiki yangu amepata,
Na jamaa mwingine pia amepata.
Ila mimi wananiambia barua yangu hawaioni hivyo niache mawasiliano yangu kisha watanipigia ikishakuwa tayari ili nisafiri tena kutoka mkoa ninaoishi kuja Dodoma kuifuata.
Hii imekaaje wakuu, yaani barua za wengine zipo ila yangu haipo wakati sote tumepata kazi taasisi moja??
Ushauri wenu wadau.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Ipo Mwaka 2020 Kuna Nafas walitangaz Na Taasis X 500+ Kuna Mwana alirudi akiwa ameanzaa mafunzo Tena sio pekee yake walirudi kama 30 Hivi.Nahitaji ushahidi ili kujiridhisha juu ya hili, majibu tafadhali? ili jobless niweke cheti kabatini nirudi geita kwenye machimbo ya wachimbaji wadogo wadogo
Mkuu Nakushauri Kaza Moyo. Nenda Kwa Katibu Mkuu Direct.Waheshimiwa, mimi na rafiki yangu tumekuja utumishi kuchukua barua zetu za kuitwa kazini.
Rafiki yangu amepata,
Na jamaa mwingine pia amepata.
Ila mimi wananiambia barua yangu hawaioni hivyo niache mawasiliano yangu kisha watanipigia ikishakuwa tayari ili nisafiri tena kutoka mkoa ninaoishi kuja Dodoma kuifuata.
Hii imekaaje wakuu, yaani barua za wengine zipo ila yangu haipo wakati sote tumepata kazi taasisi moja??
Ushauri wenu wadau.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Ushauri mzuri sanaMkuu Nakushauri Kaza Moyo. Nenda Kwa Katibu Mkuu Direct.
Ingawa wanawez kukutoa Maan Kwamba Kwanini Usingesubiri Ila Jipange kwa chalenge kama hiyo.
Ukichelewa Hapo Au Wakikusahau?? Maan Hapo Mambo Ni Mengi.
Ila Kwasabab Katibu ndio alikuita kazini Force uonane nae au Hata Wasaidiz wake.
Kwa Katibu Nenda Katoe Taarifa Usiende Kulalamika.
Mkuu Naitwa Nilitwaa kazini Taasisi X, Kada X tangazo La Tarehe Hiyo lenye Kumb kumb No hiyo Nimekuja Kufata Barua Yangu Nikajulishwa Ya Kwang Haipo.
Naomba Unipe Utaratibu wa Kufata Au Ni Kwa Namna Gani Naweza Kupata Barua ili niripoti kwa Mwajiri wangu.
Ikikupendeza Andika Barua Iadress kwa katibu Mkuu,Katume Posta, Tumia Pia Emaili ya Pspr Malalamiko.
Na muone kitenge Mwenye.
Ndo mana nilisema ni kipengele, ila awe serious kwenye ufuatiliaji yeye mwenywe asitegemee sana utumishi...akiwa serious atafanikisha.Mkuu Nakushauri Kaza Moyo. Nenda Kwa Katibu Mkuu Direct.
Ingawa wanawez kukutoa Maan Kwamba Kwanini Usingesubiri Ila Jipange kwa chalenge kama hiyo.
Ukichelewa Hapo Au Wakikusahau?? Maan Hapo Mambo Ni Mengi.
Ila Kwasabab Katibu ndio alikuita kazini Force uonane nae au Hata Wasaidiz wake.
Kwa Katibu Nenda Katoe Taarifa Usiende Kulalamika.
Mkuu Naitwa Nilitwaa kazini Taasisi X, Kada X tangazo La Tarehe Hiyo lenye Kumb kumb No hiyo Nimekuja Kufata Barua Yangu Nikajulishwa Ya Kwang Haipo.
Naomba Unipe Utaratibu wa Kufata Au Ni Kwa Namna Gani Naweza Kupata Barua ili niripoti kwa Mwajiri wangu.
Ikikupendeza Andika Barua Iadress kwa katibu Mkuu,Katume Posta, Tumia Pia Emaili ya Pspr Malalamiko.
Na muone kitenge Mwenye.
Ahsante kwa kuthibitisha hili mkuuIpo Mwaka 2020 Kuna Nafas walitangaz Na Taasis X 500+ Kuna Mwana alirudi akiwa ameanzaa mafunzo Tena sio pekee yake walirudi kama 30 Hivi.
Utumishi waliwapitisha ila Taasisi walivyofany crosscheck ikagundulika walifany Udanganyivu kwny Vyeti vya kuzaliwa...
Umri Ilikuwa Kigezo cha Kuajiriwa Not Abive 25 Years.
Ajira zilisimamiwa na Utumishi Effectively.
Hiyo hiyo Taasisi Pia Ilitangaza Tena Mwaka Huu 1 Akakandwa na Tayar alikuwa kwny placement na Barua kutoka Asha Migiro Anayoa Mkononi.