Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutoe mfano kwenye uhakiki.Wanahakiki vyeti, tena kama cheti wanakua hawajakielewa fresh wanaitana kuulizana na kupata jibu la pamoja. I witnessed this!
Bado zipo, ila naona huenda kuna nyomi kama ya TRA ingawa washakanda kwa baadhi ya kada na wanaitafutia muda wa kukabiliana nayo. Subira iendelee
Labda kulikuwa na utofauti wa majina na hakuwa na Affidavit au Deedpoll.Mimi kuna jamaa nilifanya nae ile tunaingia kwe oral kuhakikiwa pale pale wakamtoa cheti,,,hakikuwa sawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]The power of utuuzima ukongwe kwenye game [emoji1787]
Dar pekee mkuuWakuu naomba kuuliza hayo mabadiliko ya ratiba za usaili huo wa custom officer II yamefanyika Kanda zote ama ni dar pekee ake?
Ndugu comment yako imenikumbusha kitu, naomba kuuliza kama HESLB wamesha toa placement MwifwaTutoe mfano kwenye uhakiki.
HESLB huwa wanataka watu wahakiki vyeti vya kuzaliwa RITA wakati wanaomba mkopo wa Chuo.
Then, RITA watakutaka uwatumie copy inayoonesha vizuri Entry No. na wao watahakiki na wataigonga mhuhuri hiyo copy kuthibitisha kuwa ni cheti original ndio cheti sahihi
Kwa nini wao(HESLB) huwa hawaangalii tu kwa macho kama PSRS endapo hawajakielewa Cheti? Badala yake wanaelekeza watu wakacertify RITA.
Mara nyingi wanapoitana ni pale endapo cheti kikawa na majina tofauti ambapo pia huwa waangiza uwe na Affidavit ya huo mkanganyiko au Deedpoll.
Utumish si wana akaunt yao hapa jamii forum, ukiangalia vzur majukumu ambayo wameyaorodhesha utaona waz waz kuwa wana link na vyombo vingne kama TCU, Hiv unawezaje kupata orodha ya wahitimu km hakuna link?!Tutoe mfano kwenye uhakiki.
HESLB huwa wanataka watu wahakiki vyeti vya kuzaliwa RITA wakati wanaomba mkopo wa Chuo.
Then, RITA watakutaka uwatumie copy inayoonesha vizuri Entry No. na wao watahakiki na wataigonga mhuhuri hiyo copy kuthibitisha kuwa ni cheti original ndio cheti sahihi
Kwa nini wao(HESLB) huwa hawaangalii tu kwa macho kama PSRS endapo hawajakielewa Cheti? Badala yake wanaelekeza watu wakacertify RITA.
Mara nyingi wanapoitana ni pale endapo cheti kikawa na majina tofauti ambapo pia huwa waangiza uwe na Affidavit ya huo mkanganyiko au Deedpoll.
Wait your turn, status hazina maana!Ety wadau,, hv ukianya Oral interview PSRS status ni lazima ibadilikebadilike kama mnavyosema na kama ni lazima, hayo mabadiliko Huwa yanatokea baada ya muda gani..?
🙏🙏
Kama cheti ni fake, wakikiangalia tu wanakigundua na hawaruhusu mtu afanye usaili. Wako makini sana wale, hawaangalii tu mfanano wa majina. NimeshashuhudiaPSRS kazi yao kubwa ni kukanda na kupangia watu vituo vya kazi.
Kuhusu kukagua uhalali wa vyeti naona haiwahusuu maana huwa wanataka tupakie certified copies kwenye portal na tukienda kukandwa tunaenda na vyeti halisi lakini huwa hawahakiki kama ni halali au la. Wote tunajua hili, huwa wanaviangalia tu kwa macho na kuhakiki name uniformity.
Suala la kuhakiki uhalali wa vyeti linawezekana ila sio jukumu lao
Haha jamaa alikua anashikilia sana bango "status hazina maana"saivi amekua msubiri placement naona amepata wenge nazo.Wait your turn, status hazina maana!
Kuwa na link za taasisi zingine sio gurantee ya kujua kila kitu kuwahusu hiyo taasisi nyingine.Utumish si wana akaunt yao hapa jamii forum, ukiangalia vzur majukumu ambayo wameyaorodhesha utaona waz waz kuwa wana link na vyombo vingne kama TCU, Hiv unawezaje kupata orodha ya wahitimu km hakuna link?!
Huyu niliemshuhudia halikua swala la jina waliona ni kama cheti ambacho si halisi, wajiridhisha kwa pamoja kwa kuona hadi muhuli wa moto. Achilia mbali hizo case sijui majina yamepishana
Jamaa yako wizy kapotelea wapi? Toka placement yake hakuna mrejesho wowote?Kuwa na link za taasisi zingine sio gurantee ya kujua kila kitu kuwahusu hiyo taasisi nyingine.
Basi huu mjadala tuuhitimishe kuwa, PSRS ndio wanaojua ukweli zaidi juu ya wao kuhakiki hizi nyaraka na mamlaka za ajira(waajiri) nao wanajua mambo yao wanayoyazingatia ili kutoa barua za kazi pindi wakipelekewa watumishi na PSRS.
Mimi nimejaribu kufikri jinsi nilivyoelezea, sasa naweka kalamu chini.
Tundelee kupambana na mengine(kusubiri call, advertisement, placement)
Mkandaji huyu hapa na atakuwa ndiye mzee wa Flash.Ety wadau,, hv ukianya Oral interview PSRS status ni lazima ibadilikebadilike kama mnavyosema na kama ni lazima, hayo mabadiliko Huwa yanatokea baada ya muda gani..?
[emoji120][emoji120]