Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Sawa mkuuKama cheti ni fake, wakikiangalia tu wanakigundua na hawaruhusu mtu afanye usaili. Wako makini sana wale, hawaangalii tu mfanano wa majina. Nimeshashuhudia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuKama cheti ni fake, wakikiangalia tu wanakigundua na hawaruhusu mtu afanye usaili. Wako makini sana wale, hawaangalii tu mfanano wa majina. Nimeshashuhudia
DATABASE mpk January Mkuu maana November ilitoka..Tuzungumze placement lini tena itayohusu wa data base
Nilimuulizia humu tangu placement itoke ila sijamuona.Jamaa yako wizy kapotelea wapi? Toka placement yake hakuna mrejesho wowote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona mkuu status zishaanza kukutesa.....azina ishu hizo 😅Ety wadau,, hv ukianya Oral interview PSRS status ni lazima ibadilikebadilike kama mnavyosema na kama ni lazima, hayo mabadiliko Huwa yanatokea baada ya muda gani..?
🙏🙏
Huyu ID hiyo ilipigwa BAN, alisema sababu yake eti kuanzisha uzi huu.wizzy kapoteea kama ndugu yetu lerman3x
BAn ya nn wakati hii thread haina shida yoyote kwa jamii?.
hapo uwaulize system administrator wa JF. maana nimepigwa ban bila warning yeyote.BAn ya nn wakati hii thread haina shida yoyote kwa jamii?.
Hahahaaa.hapo uwaulize system administrator wa JF. maana nimepigwa ban bila warning yeyote.
hata ku changiaga mada naonaga jau.
nipo zangu nasubiriii Placement nilizo zipiga sahili zake mwez November na October[emoji28][emoji28]
Isije na hii account ikasepa pia
Kuna mdau alitonya ipo sababu placement zote huenda kazi ikawa January na kuna taasisi nyingine hazijatiza watuDATABASE mpk January Mkuu maana November ilitoka..
ile huwa inakaaa kujazia watu kutoka vacancy za taasisi mbalimbali
😁😁😁 Hatari sana nyie watu, huyo jamaa Yuko zake PSRS anapigwa zake kazi na ameshasahau haya mambo ya ujoblessMkandaji huyu hapa na atakuwa ndiye mzee wa Flash.
Majibu yote ya status lazima atakuwa nayo, sasa tunampataje?
Alilamba Asali ya kukanda kwenye placement ya April 9, 2022View attachment 2449044
Hapana mkuu, nikitaka nijue tu.. hizi hata kama zingekuwa na issue Ila lazima tusibiria Pdf la vituo.. Hilo ndo Kila kituNaona mkuu status zishaanza kukutesa.....azina ishu hizo 😅
Una Oral ngapi unazozisibiria mkuu..?hapo uwaulize system administrator wa JF. maana nimepigwa ban bila warning yeyote.
hata ku changiaga mada naonaga jau.
nipo zangu nasubiriii Placement nilizo zipiga sahili zake mwez November na October[emoji28][emoji28]
Isije na hii account ikasepa pia
Hahah huyu jamaa kama nampata vileMkandaji huyu hapa na atakuwa ndiye mzee wa Flash.
Majibu yote ya status lazima atakuwa nayo, sasa tunampataje?
Alilamba Asali ya kukanda kwenye placement ya April 9, 2022View attachment 2449044
Hahah huyu jamaa kama nampata vileMkandaji huyu hapa na atakuwa ndiye mzee wa Flash.
Majibu yote ya status lazima atakuwa nayo, sasa tunampataje?
Alilamba Asali ya kukanda kwenye placement ya April 9, 2022View attachment 2449044
Atuzoom tu hapa yaani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16] Hatari sana nyie watu, huyo jamaa Yuko zake PSRS anapigwa zake kazi na ameshasahau haya mambo ya ujobless
Ebu mtafute basiHahah huyu jamaa kama nampata vile
issue nahisi ilianza kwny ule uzi wa Yule jamaa aliye pata ufaulu mzuri (alikuwa wa pili) lkn kada ya TA na akawa not selected...Hahahaaa.
Inabidi wakurejeshee ID yako mkuu.
Imagine hadi tumewavuta PSRS kufungua ID humu
Oral mbili 2.. zimebakiUna Oral ngapi unazozisibiria mkuu..?
Kwamba hawakutaka tujadili hayo makosa yao?.issue nahisi ilianza kwny ule uzi wa Yule jamaa aliye pata ufaulu mzuri (alikuwa wa pili) lkn kada ya TA na akawa not selected...
nyiee mliletaga mad mule ika trend cku hiyohiyo nikala ban kwny ule uzi wangu wa pili