Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kosa la kwanza ni kuchagua Kiswahili ilionesha kabisa una wasi wasi na kimombo chako halafu ukilinganisha na shirika(MDH).

Ungekomaa na Kiingereza tu hata kama ni broken, hapo ikionesha ujasiri wa kuthubutu ambapo ungeweza kuimprove siku za mbeleni ukiwa unapractise
Nilijifunza tokea siku ile asee
 
Mwajiri anachopaswa kukifanya ukishampelekea barua ya placement
IMG_20221217_171439_579~2.jpg
 
Nilihudhuria interview za MDH written na prac zote niliongoza mimi oral tulingia 14 wanahitajika watu sita ila nilifeli sababu nadhani waliponiuliza nichangue lugha ntakayokua comfortable nkachagua kiswahili pia kuna swali la qualities of civil servant nilipata point 3 badala ya 6 .

Pamoja na kwamba niliongoza uko nyuma ila nilichemkia oral.
Hapa ndipo ulipochemka Kiswahili . Ungetema yai Muda huu ungekuwa Mdh.
Lugha ya malkia ni rahisi kuliko Kiswahili.
 
Nilihudhuria interview za MDH written na prac zote niliongoza mimi oral tulingia 14 wanahitajika watu sita ila nilifeli sababu nadhani waliponiuliza nichangue lugha ntakayokua comfortable nkachagua kiswahili pia kuna swali la qualities of civil servant nilipata point 3 badala ya 6 .

Pamoja na kwamba niliongoza uko nyuma ila nilichemkia oral.
Kiswahili ni mtego utakamatwa sana maana utafanya code switching hii sio nzuri Kuna sehemu utachanganya na kingereza kutokana na baadhi ya terms za kisomi.

Wale wengi kweny panel ni kama wewe wanajua kingereza cha ugoko lakini wananote zile point kubwa tu ..Siku nyingi usichague kiswahili.

Kama tangazo tu liko kingereza na duties and responsibilities zipo kingereza sasa katika kuzileta kiswahili zinapoteza maana kwa kiasi fulani
 
Kuna jamaa mmoja alikua anaitwa Shombe la kisomali,. Akaja Wizzy naona sasa Mwifa umeshika hatamu katika uzi huu.
Hahahaa.

Shombe la kisomali kashabadili ID, wizy sijui kapotelea wapi na haijulikani kilichomkuta kama kizuri au kibaya.

Mimi nipo sifikirii kuondoka humu, hata kama nikilamba Asali, humu nitaendelea kuwepo kama kawaida
 
Back
Top Bottom