Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Tuvute subira kama amekwama kwa jambo la kawaida atarudi, pia kama kuna jambo limemkwamisha ambalo lipo nje ya uwezo wake, basi tumuombee aweze kulikabili na kulishinda
 
Wizy shida kubwa alikua ana uhakika mkubwa wa kulamba asali,nadhani kilichomnyima ujasiri kabisa ni kwamba wengi kwenye Uzi walikua wanamtarajia.
 
Suala la Wizy hata mimi nalitafakari haiwezekani mtu apotee ghafla tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…