Stress nishamuachia Ahmet mie hata siwazi Nikirudi mwezi wa kwanza naanza kuapply kazi upya kama kawaidaKizuri sana una mawasiliano na wenzio
Tutafakari kidogo paper ya custom ya Jana, nilikua naona giza
Mpaka mchakato ukamilike utakua tayari ofisini unakula ac!Stress nishamuachia Ahmet mie hata siwazi Nikirudi mwezi wa kwanza naanza kuapply kazi upya kama kawaida
taasisi zenye Scale ya PGSS [emoji28][emoji28][emoji28]Kijana unasubiri taasisi ipi
Pambana sana mwamba, vipi bado hujavutiwa waya na mwajiri wako?Jobless wenzangu niaje nipo Poli no internet connection napigika na vibarua aisee jana nimeingia town soon (kesho) napotea Tena maybe mpaka mwakani Tena All in all nipo good [emoji106]
Tuvute subira kama amekwama kwa jambo la kawaida atarudi, pia kama kuna jambo limemkwamisha ambalo lipo nje ya uwezo wake, basi tumuombee aweze kulikabili na kulishindaHili suala la wizy naona bado linafikirisha sana. Au ndio ile tabia ya kufall in love na Avatar akajikuta ameenda Dm kumbe akakutana na watu wabaya wakamteka?
Najaribu kujiaminisha kwamba ni jambo la kawaida, na pengine ameamua tu mwenyewe lakini bado nafsi inakataa.
Bado Mkuu mwakani Tena hiyo MkuuPambana sana mwamba, vipi bado hujavutiwa waya na mwajiri wako?
Mungu Akufanyie wepesi KAKAJobless wenzangu niaje nipo Poli no internet connection napigika na vibarua aisee jana nimeingia town soon (kesho) napotea Tena maybe mpaka mwakani Tena All in all nipo good [emoji106]
Asante mkuu acha tupambane tu
Wizy shida kubwa alikua ana uhakika mkubwa wa kulamba asali,nadhani kilichomnyima ujasiri kabisa ni kwamba wengi kwenye Uzi walikua wanamtarajia.Hili suala la wizy naona bado linafikirisha sana. Au ndio ile tabia ya kufall in love na Avatar akajikuta ameenda Dm kumbe akakutana na watu wabaya wakamteka?
Najaribu kujiaminisha kwamba ni jambo la kawaida, na pengine ameamua tu mwenyewe lakini bado nafsi inakataa.
🤣🤣🤣🤣Duuh
Kweli Bora ulirax tu ila naamini soon watakuitaStress nishamuachia Ahmet mie hata siwazi Nikirudi mwezi wa kwanza naanza kuapply kazi upya kama kawaida
Kweli kabisa aiseeeKweli Bora ulirax tu ila naamini soon watakuita
Daah mwamba wamewaweka sanaa aisee sio poa
Na Bado wapo wanajenga vyuo ndo wanakopeleka wafanyakazi na wanasema vipo kama 97% so vikishakua tayari ndo wataita so kwanzia mwezi wa 2 huko au wa 3 so Zaid ya miezi 6 hiyo Sasa mkuuDaah mwamba wamewaweka sanaa aisee sio poa
Suala la Wizy hata mimi nalitafakari haiwezekani mtu apotee ghafla tuHili suala la wizy naona bado linafikirisha sana. Au ndio ile tabia ya kufall in love na Avatar akajikuta ameenda Dm kumbe akakutana na watu wabaya wakamteka?
Najaribu kujiaminisha kwamba ni jambo la kawaida, na pengine ameamua tu mwenyewe lakini bado nafsi inakataa.
Kweli aiseeSuala la Wizy hata mimi nalitafakari haiwezekani mtu apotee ghafla tu
mimi sina hata hamu yakucheka,nimateso tu haya🤣🤣🤣🤣
Duuuuh!!!![emoji848]mimi sina hata hamu yakucheka,nimateso tu haya