Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hili suala la wizy naona bado linafikirisha sana. Au ndio ile tabia ya kufall in love na Avatar akajikuta ameenda Dm kumbe akakutana na watu wabaya wakamteka?

Najaribu kujiaminisha kwamba ni jambo la kawaida, na pengine ameamua tu mwenyewe lakini bado nafsi inakataa.
Tuvute subira kama amekwama kwa jambo la kawaida atarudi, pia kama kuna jambo limemkwamisha ambalo lipo nje ya uwezo wake, basi tumuombee aweze kulikabili na kulishinda
 
Hili suala la wizy naona bado linafikirisha sana. Au ndio ile tabia ya kufall in love na Avatar akajikuta ameenda Dm kumbe akakutana na watu wabaya wakamteka?

Najaribu kujiaminisha kwamba ni jambo la kawaida, na pengine ameamua tu mwenyewe lakini bado nafsi inakataa.
Wizy shida kubwa alikua ana uhakika mkubwa wa kulamba asali,nadhani kilichomnyima ujasiri kabisa ni kwamba wengi kwenye Uzi walikua wanamtarajia.
 
Hili suala la wizy naona bado linafikirisha sana. Au ndio ile tabia ya kufall in love na Avatar akajikuta ameenda Dm kumbe akakutana na watu wabaya wakamteka?

Najaribu kujiaminisha kwamba ni jambo la kawaida, na pengine ameamua tu mwenyewe lakini bado nafsi inakataa.
Suala la Wizy hata mimi nalitafakari haiwezekani mtu apotee ghafla tu
 
Back
Top Bottom