Tuishi kwenye "kila mtu ana uhuru wa maamuzi yake", ila binafsi sifurahishwi na watu kutoweka kisa wamelamba Asali, hata kama majukumu yanakuwa mengi huwezi kukosa hata dk 10 za kuingia humu.
Huyo bwana akishalamba asali na kuanza kuogelea kwenye mzinga tu, atatelekeza uchambuzi wa vifungu na kanuni vya wakandaji, akiwa busy kusubiri kila tarehe 22-25,...(jocking)Uko sahihi sana Mkuu, muda wa kusabahi kwa komenti moja au mbili haukosekani, ikishindikana kabisa hata kumwaga LIKES ni ishara ya kuambia watu tuko pamoja.
Hahahaha! Japo nasubiri na wewe utokee halafu nakupa mwezi mmoja baada ya kuanza kazi ili niangalie kama utaendelea kuhudhuria!
Hahahaha ukishapita kwa PDF kuja huku yataka moyoUko sahihi sana Mkuu, muda wa kusabahi kwa komenti moja au mbili haukosekani, ikishindikana kabisa hata kumwaga LIKES ni ishara ya kuambia watu tuko pamoja.
Hahahaha! Japo nasubiri na wewe utokee halafu nakupa mwezi mmoja baada ya kuanza kazi ili niangalie kama utaendelea kuhudhuria!
Kuna mwamba uzi fulani hivi alifafanua vizuri sana. Utafute kwa kutype mshahara wa Tutorial AssistantJamani salary scale hii PHTS 1, ni kiasi gani?
Hahahaahaaa.Uko sahihi sana Mkuu, muda wa kusabahi kwa komenti moja au mbili haukosekani, ikishindikana kabisa hata kumwaga LIKES ni ishara ya kuambia watu tuko pamoja.
Hahahaha! Japo nasubiri na wewe utokee halafu nakupa mwezi mmoja baada ya kuanza kazi ili niangalie kama utaendelea kuhudhuria!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo bwana akishalamba asali na kuanza kuogelea kwenye mzinga tu, atatelekeza uchambuzi wa vifungu na kanuni vya wakandaji, akiwa busy kusubiri kila tarehe 22-25,...(jocking)
Hapo kwenye kuomba hapo, mpaka maombi yajibike, habari, kanuni na taratibu za wakandaji utakua ushazisahau, utakua unadhinda keleee kimasihara.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naomba nipate nafasi(mrija wa Asali), then nitaomba hilo lisitokee
Kwa hiyo ni mwendo wa kusubiri PDF za Placements tu...Utumishi kazi hakuna cha chrismasi wala mwaka Mpya kwa mujibu wao wenyewe
Daahh [emoji3][emoji3]Hapo kwenye kuomba hapo, mpaka maombi yajibike, habari, kanuni na taratibu za wakandaji utakua ushazisahau, utakua unadhinda keleee kimasihara.
Wamesema hawana hizo skuukuu wao wanaendelea na kazi tuKwa hiyo ni mwendo wa kusubiri PDF za Placements tu...
Waachie tokeo sasa la TRA tujipange mapemaaaWamesema hawana hizo skuukuu wao wanaendelea na kazi tu
Bado wana sahisha mitihani mkuuWaachie tokeo sasa la TRA tujipange mapemaaa
Matokeo ya TRA mpaka mwakani kuanzia tarehe 3 Januaey.Waachie tokeo sasa la TRA tujipange mapemaaa
Sidhani kuna watu wa ict wanfnya prac tarehe 31/12 nao wasbrie tarehe 3 mwakani?Matokeo ya TRA mpaka mwakani kuanzia tarehe 3 Januaey.
Naona bila bila leoSiku ndio inayoyoma hivyo ikigubikwa na ukimya. Hatuwezi kupata kaplacement cha kuzugia!?