Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ndugu yetu inabidi aongezee kwenye elimu yake japo kadigirii kwa sheria, inaonekana atapatia sana.
Hii tunaita "knowledge by experience" ameamua kusoma na kuelewa sheria na kanuni za wakandaji, akisubiri placement hataki hii kitu tunaita "idle mind"
 
Life has no formula

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Kitalaamu tunasema yeye ndo kalamika. Sema nakupenda kaka angu panicking mode yako iko mbaaliii sana
Hahahahahaa.

Ngoja niendelee kupush agenda huku kitaa, ipo siku nitakuibukia huko k/koo, sina wasiwasi sasa maana wizy kashapotea hamna mtu wa kuja kunizonga zonga kuhusu koneksheni ya kukufikia[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hii tunaita "knowledge by experience" ameamua kusoma na kuelewa sheria na kanuni za wakandaji, akisubiri placement hataki hii kitu tunaita "idle mind"
Siku mambo yakienda ndivyo sivyo nitatimba na vifungu vya kanuni ofisini kwao kwenda kudai haki yangu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hahahahahaa.

Ngoja niendelee kupush agenda huku kitaa, ipo siku nitakuibukia huko k/koo, sina wasiwasi sasa maana wizy kashapotea hamna mtu wa kuja kunizonga zonga kuhusu koneksheni ya kukufikia[emoji3][emoji3][emoji3]
Ila Wizy kama ni kukosa mrija kumempoteza the expectations were too high. I just hope apate courage ya kuendelea na harakati nyingine salama
 
Hahahahahaa.

Ngoja niendelee kupush agenda huku kitaa, ipo siku nitakuibukia huko k/koo, sina wasiwasi sasa maana wizy kashapotea hamna mtu wa kuja kunizonga zonga kuhusu koneksheni ya kukufikia[emoji3][emoji3][emoji3]
Kariakoo usije, utachoka kabla hujafika. Sema bana leo ndo nmewaza ningekuwa na kazi aisee, Kariakoo hakupitiki na watu wanataka order zao. Yaan badala ya kugongwa na gari ama boda unagongwa na watu ama mizigo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…