Hahahaha ukilamba asali kuhudhuria humu yataka moyo mno nawaelewa wanaokimbia.Hamtaki nije kupotea kama wanavyopotea wengine wakishalamba Asali!!?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Madini sijawahi kuwa nayo, natembea tu na miongozo iliyoandaliwa na wengine
Leo ipo.. subirieni time,, si mnaona Leo washarudi kazini Pdf za Mikando kama yotePlacement Leo Hamna wadau???
Daah! Hii marks ya custom siyo yangu! 😭😭😭😭....acha nifunge viatu Safari bado ndefu na ngumuMambo yanayohusisha mahesabu niachen nayo kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh pole sn mkuu usikate tamaa lets hope for next timeDaah! Hii marks ya custom siyo yangu! 😭😭😭😭....acha nifunge viatu Safari bado ndefu na ngumu
Mkandaji mkuu umeamua kuwakilishaKuweni wapole matokeo yanaanza kutoka hivi punde - Mkandaji Mkuu
Usikate Tamaa mkuu, mapambano yaendeleeDaah! Hii marks ya custom siyo yangu! 😭😭😭😭....acha nifunge viatu Safari bado ndefu na ngumu
😁😁 Mkuu unajipa moyo kuwa January ni Uhakika... Mwenzangu unasubiria placements ngapi..?Nimesoma mwongozo huo wote kurasa 21,Kuna kila dalili ya Placement zote za Mwaka huu kutoka Kabla ya January...Maana nimeona kama January huwa Wanaanza vikao vipya kwa ajili ya Ajira zijazo...
kwa upande wangu 1 tu na practical yenyewe nilizidiwa sjui kama naweza kupindua matokeo oral😁😁 Mkuu unajipa moyo kuwa January ni Uhakika... Mwenzangu unasubiria placements ngapi..?
Hongera waliofanikiwa waliokosa msikate tamaa kuendlea na mapambano ya kusaka mrija wa asali
Mzee wa IT umetoboa?Hongera waliofanikiwa waliokosa msikate tamaa kuendlea na mapambano ya kusaka mrija wa asali
Mwifwa naona unashusha vifungu tu,Kuna kanzidata za aina tatu:
1. Za wahitimu wa Vyuo na Wataalam
2. Za waliofaulu usaili
3. Za waliopangiwa vituo vya kazi.
Najikita kwenye Kanzi data ya waliofaulu usaili ambayo imezungumziwa kwenye kanuni namba 22.
Imelezewa kuwa orodha ya waliofaulu usahili mahojiano na hawakuweza kupata nafasi itatunzwa kwa matumizi ya baadae(1), itatumika kujaza nafasi wazi kulingana na mahitaji ya waajiri(2), endapo hii orodha itakuwa imeisha baada ya watu wote kupangiwa vituo vya kazi au waliopo kanzi data watakuwa hawana sifa au utaalamu anaouhitaji mwajiri, nafasi za ajira zitatangazwa(3),
Kulingana na hivyo vipengele vya kanuni inaonesha kuwa sifa au utaalamu wa mtu aliyepo kanzi data ndio utamuwezesha kupangiwa kituo endapo nafasi yenye kuhitaji sifa au utaalamu alionao itapatikana, hapa sasa ndio pale tunapoona watu wanapangiwa vituo kwenye taasisi tofauti tofauti ambazo hawakuzifanyia usahili.
Kuhusu kuangalia suala la qualifications za vyeti kama unavyotaka hapa mimi naona hili lipo ndani ya sifa au utaalamu uliotajwa kwenye kanuni hii.
hadi january tukandwe vizuriNimesoma mwongozo huo wote kurasa 21,Kuna kila dalili ya Placement zote za Mwaka huu kutoka Kabla ya January...Maana nimeona kama January huwa Wanaanza vikao vipya kwa ajili ya Ajira zijazo...
Chache tu,wewe ngapii😁😁 Mkuu unajipa moyo kuwa January ni Uhakika... Mwenzangu unasubiria placements ngapi..?
Unaweza ukanichimbia zaidi kuhusu hiiPrac na Oral zote zinachangia marks kwenye ufaulu wa jumla ili upate kazi.
Kwahiyo usipoteze matumaini sana
umewakanda msomi?Mambo yanayohusisha mahesabu niachen nayo kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatimaye status zikaondoka na wizy , kwamba na miongozo ya kanuni itaondoka na mimi!?[emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaha ukilamba asali kuhudhuria humu yataka moyo mno nawaelewa wanaokimbia.
But unafanya jambo kubwa sana kaka kuwapa miongozo walamba asali. Nakumbuka vita ya STATUS tuliipigna vyema dhidi ya ndugu wizy na wenzie hatimae vijana wakatuelewa.
Pole sana mkuu, next time utasonga mbeleDaah! Hii marks ya custom siyo yangu! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]....acha nifunge viatu Safari bado ndefu na ngumu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkandaji mkuu umeamua kuwakilisha