Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hamtaki nije kupotea kama wanavyopotea wengine wakishalamba Asali!!?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Madini sijawahi kuwa nayo, natembea tu na miongozo iliyoandaliwa na wengine
Hahahaha ukilamba asali kuhudhuria humu yataka moyo mno nawaelewa wanaokimbia.


But unafanya jambo kubwa sana kaka kuwapa miongozo walamba asali. Nakumbuka vita ya STATUS tuliipigna vyema dhidi ya ndugu wizy na wenzie hatimae vijana wakatuelewa.
 
Mwifwa naona unashusha vifungu tu,
 
Hahahaha ukilamba asali kuhudhuria humu yataka moyo mno nawaelewa wanaokimbia.


But unafanya jambo kubwa sana kaka kuwapa miongozo walamba asali. Nakumbuka vita ya STATUS tuliipigna vyema dhidi ya ndugu wizy na wenzie hatimae vijana wakatuelewa.
Hatimaye status zikaondoka na wizy , kwamba na miongozo ya kanuni itaondoka na mimi!?[emoji3][emoji3][emoji3]

Tusikimbie bana hata kama tukishakamilisha mission(Asali)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…