Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Duuh, aisee kila mtu na zamu yake hapa Walokandwa TRA, wanasema bora kwanza wangetoa kada nyingine, hapa nina received 3, nikiona watu wanakandwa na kupita, nasema na mimi si ni kama hawa-hawa, tuombeane.
 
Tupeane pole, mimi ata ukinipa scientific calculator siwez itumia, ata kwenye mtihani sikujisumbua kuomba[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwakwel tunastaili pole,mimi nikimuambia mtu sijui hesabu kabisa atashangaa cut nilichosomea kinamahesabu yakutosha
 
Ni Yeye
Nadhan Mmelewa Mafuta na Maji Siku Zote Yanajitenga.
 
Duuh, aisee kila mtu na zamu yake hapa Walokandwa TRA, wanasema bora kwanza wangetoa kada nyingine, hapa nina received 3, nikiona watu wanakandwa na kupita, nasema na mimi si ni kama hawa-hawa, tuombeane.
Piga tu msuli, usiruke topic, pata concept, elewa concept, ktk paper hata swali huliepewi elewi, jazs unachohisi ni sahihi, usiache hata swali. Dua pia ni muhim.
 
Mkuu hilo folder lako ni noma naona umesindikizia kaPdf na picha hapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu nilikuwa nafanya attachment ya dcm ya maswali ya custom ndio nashngaa kina lissu na huyu mrembo wamefika vip huku

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Shukrani mkuu, nimekusoma
 
Watu wanafeli mitiani ya secretarieti tra mkp mtu katika mtiani wa custom alilamba 1.5 na Ni wengi hatari sana hapo usishange huyo aliyepata hyo 1.5 Ana gpa ya 3.8

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Inawezekana kabisa, anaweza kuwa na ata ya 4.5[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…