Sasa si uliacha kuingia humu hiyo tarehe 11 na ID hiyo(Wizy) baada ya hii ID kuwa approved na Mods?
Kumbuka ukijiunga utasubiri kwanza hadi Mods waiapprove ndani ya saa 24
Hawa walifanya usaili wa Oral mwezi wa ngapi?.WAHUSIKA WA NDOIGE CHEKINI
HuuPlacement umekula mwaka huu Au..?
sijawai tumia jf na sielewi sheria zao zipoje this dec ni mara yangu ya kwanza kujiunga. Na jf hivo mm ni mgeni humu. Siku niliopost kwa mara ya kwanza niliona wanadai kuwa ujumbe wangu hauonekani kwa umma mpka mod watapo upitia, so nikahis sijawa approved leo ndo first time natuma ujumbe unaonekana direct bila kupitishwa na mod sometime text yangu ilikuwa ina kaa lisaa haijaonekana ndo mod wanaipitisha kwa umma. So mm ukiniita wizy unani kosea sana na pia vp kama mm sio wizy na text zote izi ambazo unataka kuthibitisha mm n wizy nafikir sio sawa huwez jua kijana anachangamoto gani tusiwe wa haraka kusema kijana kashindwa kuhimili matokeo ya wakandajiπ .Hata hivyo haikuwa mara yake ya kwanza kukandwa, alikuwa mzoefu.
Siamini kama kweli alishindwa kuhandle hiyo situation hadi akimbie.
Yeye alikuwa anapambania post 2, wengine tunaopambania nafasi 1 sijui tusemeje maana probability 0.1% kutoboa.
Naomba kutoa wito kwa wote tunaofukuzia hii mirija Asali, tujaribu kuwa na mentality ya kupokea matokeo ya pande zote mbili.
Yakiwa mazuri ni ushindi na yakiwa mabaya tusife moyo bali tuwe strong na kuweza kuendelea kupambana zaidi.
Tukiweka akili zetu hivi hatutapashida ya kukabiliana na matokeo ya kila aina.
Huenda kijana alikandwa ndio maana aliamua kukaa kimya. Ukizingatia alikua na expectations kubwa sana na nafasi ile so huenda disappointment ilikua kubwa.
Ila Wizy alikua na utoto mwingi sana πππ namkumbuka sana kijana wangu katika issue serious analeta utani.
Mwezi huu tarehe 14 walifanya OralHawa walifanya usaili wa Oral mwezi wa ngapi?.
Kazi njema mkuu, naona mumevutiwa waya(simu) mkaripoti na kuanza kazi.sijawai tumia jf na sielewi sheria zao zipoje this dec ni mara yangu ya kwanza kujiunga. Na jf hivo mm ni mgeni humu. Siku niliopost kwa mara ya kwanza niliona wanadai kuwa ujumbe wangu hauonekani kwa umma mpka mod watapo upitia, so nikahis sijawa approved leo ndo first time natuma ujumbe unaonekana direct bila kupitishwa na mod sometime text yangu ilikuwa ina kaa lisaa haijaonekana ndo mod wanaipitisha kwa umma. So mm ukiniita wizy unani kosea sana na pia vp kama mm sio wizy na text zote izi ambazo unataka kuthibitisha mm n wizy nafikir sio sawa huwez jua kijana anachangamoto gani tusiwe wa haraka kusema kijana kashindwa kuhimili matokeo ya wakandaji[emoji28].
Status inasomaje kwenye app na web?Kaka sio mm ii account ni ya tereh 10 dec kama ulivo sema, last seen ya wizy ni tarehe 11 dec kama angetaka ku change ID ange badilishaa baada ya tareh 11 au tareh 11 hio2.
namaanisha programming language kiongozi, maana kwenye written kulikua na php,python,java na c++Unataka utumie lugha Gani tofauti na Kingereza?
Jua zote maana you never know PSRS watataka mtumie lugha gani, lakini mara nyingi wanatoa lugha zaidi ya moja. So make sure unazijua zote.namaanisha programming language kiongozi, maana kwenye written kulikua na php,python,java na c++
shukrani mkuuJua zote maana you never know PSRS watataka mtumie lugha gani, lakini mara nyingi wanatoa lugha zaidi ya moja. So make sure unazijua zote.
Kazi njema mkuu, naona mumevutiwa waya(simu) mkaripoti na kuanza kazi.
Mna bahati sana mumeitwa mapema, wenzenu akina meck pro bado wanasugua bench na barua zao wanasubiri kuvutiwa waya.
Aisee imekua kheri sana ngoma haijakesha sana π, sikuwahi kupambania mrija utumish yaan imekua mara ya kwanza na ndo nimepenya hapo hapo. Kwa hakika yanawezekana Alhamdulilah.Kazi njema mkuu, naona mumevutiwa waya(simu) mkaripoti na kuanza kazi.
Mna bahati sana mumeitwa mapema, wenzenu akina meck pro bado wanasugua bench na barua zao wanasubiri kuvutiwa waya.
Hongera sana kiongozi. Kaka tupe mrejesho wa status app na web basi.Aisee imekua kheri sana ngoma haijakesha sana π, sikuwahi kupambania mrija utumish yaan imekua mara ya kwanza na ndo nimepenya hapo hapo. Kwa hakika yanawezekana Alhamdulilah.
Ndiyo hivyo, Sasa mwendo wa placements tu kuanzia Sasa.Mwamba leo tumevunja kanuni nyingine kwamba placement yaweza toka any time kuanzia ufanye oral..inategemea na uharaka wa taasiss husika.
Mwifwa
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Dah! Sisemi kituHongera sana kiongozi. Kaka tupe mrejesho wa status app na web basi.
Umeitwa kuanza job mkuu???Aisee imekua kheri sana ngoma haijakesha sana π, sikuwahi kupambania mrija utumish yaan imekua mara ya kwanza na ndo nimepenya hapo hapo. Kwa hakika yanawezekana Alhamdulilah.
Mjasili haachi asili.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dah! Sisemi kitu