Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Iii issue ni simple sana niliitaji kumjua mtu niliefananishwa nae. Nili comment makusudi tu. Nimepitia comment zake nyingi mpaka nikagundua kuwa issue ya status ni simple sana.
kwa research yangu status za web zinachange sana sidhani kama zina effect kwenye kutokea jina la mtu kwenye pdf isipokuwa only pale utapo andikiwa not shortlisted.
base na app coz inaonesha waliopata kazi 99% wana selected for null, coz sijaona case kwenye comment zake wizy mtu kawa not selected for null kapata kazi, pia ukiwa selected for null manake na hisi umefanya oral fresh sio gurantee ya ww kupata kazi. So kikubwa after oral play upate kwenye app selected for null, the rest mwachie mungu.
Huyu ni Wizy nasema huyu ni Wizy. Wizy na status hata umwambie nini hawezi kubadilika kama Ubishi na Muha
 
Kurudi kwa ID mpya ndio kaharibu zaidi, tulikuwa tushampotezea
Hahaha hapa ndo mnapo yumba hakuna ata mmoja wenu mwenye 100% mm ni wizy from nowhere kijana mlikua mmemiss sana inavo onekana jina lake mda wote lilikua lina exist kwenye brain za watu wengi humu ndani.
Ndomana Wkingz ID ya mtu mwingine ikaitwa wizy king tena kwa jinsi mlivomkumbuka mkaenda mbali zaid na kuchukua herufu za wizy kuzifananisha na ID yangu.sio siri kijana ali konga roho za wengi humu ndani kwa inavoonekana. Na anaendelea kuishi atakama hayupo,
 
Hahaha hapa ndo mnapo yumba hakuna ata mmoja wenu mwenye 100% mm ni wizy from nowhere kijana mlikua mmemiss sana inavo onekana jina lake mda wote lilikua lina exist kwenye brain za watu wengi humu ndani.
Ndomana Wkingz ID ya mtu mwingine ikaitwa wizy king tena kwa jinsi mlivomkumbuka mkaenda mbali zaid na kuchukua herufu za wizy kuzifananisha na ID yangu.sio siri kijana ali konga roho za wengi humu ndani kwa inavoonekana. Na anaendelea kuishi atakama hayupo,
Alikonga roho ya nani mzee, akati watu wanamshangaa wanamuona a coward, ameshindwa/umeshindiwa kuhimili failure.
 
Ukiwa na kazi ndio nguvu ya kuchagua kazi inakuja![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wakati wengine tunapambania kombe la asali hata kwa TGS D, wengine wanatamani kwingine kutoka walipo, turidhike wakuu tunaelewa ni wapi tumetokea hakunaga mshahara unaotosha ulikopangiwa ndio ridhiki yako, kazi kwako tu kujiendeleza na nyanja zingine lkn kikubwa tuwe watumishi wema, turidhike na tutakapokuwa kupata kazi gvt bongo ni neema tu.
Sahihi mkuu
 
Alikonga roho ya nani mzee, akati watu wanamshangaa wanamuona a coward, ameshindwa/umeshindiwa kuhimili failure.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Manake kwanza ncheke


Me binafsi nilifanya oral mwez3 mwaka huu mpk leo ziiiiii!!!! na june wenzangu waliitwa kazn, na kuna mwingine alikuwa database akaitwa september na ni mwanangu, lkn kiroho safi kbs najua kwa wakati ule haikuwa ridhiki yangu its just normal tu ni suala la muda tu tunajifunza tunasonga mbele wakati ukifika tutacheka sana! Mema yako mbeleee...2023[emoji3]
 
Alikonga roho ya nani mzee, akati watu wanamshangaa wanamuona a coward, ameshindwa/umeshindiwa kuhimili failure.
Zenu mkuu ata kama sio ww basi wengine, mpaka mm nashangaa coz angekua wa kawaida msinge mpa mtu attention kiasi ichi atakama aliondoka akarud kwa id mpya. haijarish ata kama mnamwona coward kiasi mnavo ni attack mm ndo ukubwa wake pia upo ivo ivo.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Manake kwanza ncheke


Me binafsi nilifanya oral mwez3 mwaka huu mpk leo ziiiiii!!!! na june wenzangu waliitwa kazn, na kuna mwingine alikuwa database akaitwa september na ni mwanangu, lkn kiroho safi kbs najua kwa wakati ule haikuwa ridhiki yangu its just normal tu ni suala la muda tu tunajifunza tunasonga mbele wakati ukifika tutacheka sana! Mema yako mbeleee...2023[emoji3]
Mlikuwa mnawania nafasi ngapi boss na mlikuwa wangapi Oral
 
Back
Top Bottom