Mambo hayaendi namna hiyo, lazima wakaze waweze fika at least minimum requirements, vinginevyo, ngoma inaweza ikarudi tena uwanjani.Hao watu wa ICT TRA watapata kazi wote, maana oral wameitwa 48 tu, na post ilikua inataka watu 50 tu.
Mi ndo namwambia hiyo ngoma usishngae kuna wana wakrudisha mpira kati kuanza 1 tena utumishi sio poa kama hujajipngaMambo hayaendi namna hiyo, lazima wakaze waweze fika at least minimum requirements, vinginevyo, ngoma inaweza ikarudi tena uwanjani.
Nilianza harakati hizi za kuusaka mrija nikiwa nikichangia kwenye nyuzi za jukwaa hili na ID yangu hii, sifikirii mwisho wangu uje uwe hivyo.Hahahahaha! Hebu tupe jibu endapo NAOT ile nafasi ya mtu mmoja kupata ikitoka umepata utatupa mrejesho wa kweli? Au ndio itabidi utuambie hujapata ili tujue siye wewe?
Atakaeshindwa kutoboa hapo aisee ndo basi tena.Mambo hayaendi namna hiyo, lazima wakaze waweze fika at least minimum requirements, vinginevyo, ngoma inaweza ikarudi tena uwanjani.
Mambo sio rahisi namna hiyo, mara zote paper huwa rahisi ukishatoka, au kwa yule ambaye haimuhusu.Atakaeshindwa kutoboa hapo aisee ndo basi tena.
Wanaume tulikuwa 3, wasichana walikuwa 2, mwingine alifanyia Zenji sijui jinsia yake.Ha ha ha, uzuri nadhani alisema mwanaume alikuwa yeye pekee yake. Hivyo ni rahisi kujua.
Mule ndani kugumu kuna watu wanshndwaga kuongea kbsa wanabaki kutetema tu ss utapewaje kz na unatetemeka tu 🤣🤣Mambo sio rahisi namna hiyo, mara zote paper huwa rahisi ukishatoka, au kwa yule ambaye haimuhusu.
Katika kukabiliana na panel kuna ile hali ya kupoteana, faham kamili unakua nazo ukiingia na wakati wa kutoka tu.
Hapa issue ni utayari wa kujulikana, kuna wengine hawako tayari true identity yao kujulikana, wana sababu zao.Nilianza harakati hizi za kuusaka mrija nikiwa nikichangia kwenye nyuzi za jukwaa hili na ID yangu hii, sifikirii mwisho wangu uje uwe hivyo.
Mara nyingi watu humu JF walikuwa wanajua kuwa mimi ni mlamba Asali isipokuwa wachache wanaonifahamu/tunaofahamiana nje na JF, kama ningetaka watu waendelee kufahamu hivyo nisingekuwa nashiriki kwenye hizi nyuzi kwa ID hii, ningefungua ID nyingine wasioifahamu watu.
Humu kwenye uzi huu, yupo anayenifahamu ingawa hajawahi kukutana na mimi.
Kwa hiyo nikipata hiyo nafasi NAOT nitaleta mrejesho humu, tutafurahia wote humu hatua hiyo muhimu ya kuungwa kwenye gridi ya Taifa ya walamba Asali, watakaoweza kunifahamu nina imani watakuwa wachache miongoni mwa wengi tuliomo JF.
Ndo namwambia mwana huyo, unaweza ukatimba humo, ukaulizwa tuambiel kirefu cha neno TRA, na mtu akachemka, akitoka anajikataa kama ndio yeye.Mule ndani kugumu kuna watu wanshndwaga kuongea kbsa wanabaki kutetema tu ss utapewaje kz na unatetemeka tu 🤣🤣
Hizi zenye hatua 3 ni ngumu sana aisee.Naona Mikando inaendelea kama kawaida huko PSRS,, yaan watu wanaupokea mwaka kwa Mikando..
Hizi kazi zenye saili zaidi ya 2 naona sio salama kabisa kwa Afya ya Majobless..
Pole sana mkuu, usikate tamaa, bahati yako ipo ila muda bado haujafika. Muda ukifika utafurahi mwenyewe na kusahau yote haya unayopitia.Unaweza kua unajua ila pepa za utumishi zikakufanya uonekane hujui kwa sababu ya umakini kweli mimi ni wa kushindwa kujiongeza ili uweze kuaccess server lazima uwe na network zaidi ya masaa mawili
Nilitaman sana kuajiriwa TRA ila ndo hivyo jahazi la matumani ndo linazama bye wazeee sitajihusisha na huu uzi tena .
Wajitahidi wasisingue, marks zisipofika hawapatiHao watu wa ICT TRA watapata kazi wote, maana oral wameitwa 48 tu, na post ilikua inataka watu 50 tu.
Tupe nondo mkuu namna ya kuipata hiyo 50%Jamani msibishane hapo kwenye wote kupata kazi asilimia kubwa kazi za TRA (ICT) wanaoingiaga ORAL wote huwa wanalamba asali wazeee hao jamaaa wanahitaji kupata hamsini (50) Tu basi wakale maisha
Kweli mkuu, wapo ambao hawataki kutambulika kabisa.Hapa issue ni utayari wa kujulikana, kuna wengine hawako tayari true identity yao kujulikana, wana sababu zao.
Hakunaga kuleta ujuaji mbele ya psrs[emoji3][emoji3]Hahahahaha [emoji1787][emoji1787] kijana Jana Nampa mipango miji anasema ni vitu anacheza navyo kila siku havimsumbui
Oral ya ICT IPO trick kidogo inatakiwa ufatilie Toka mwazo written na practical wametoa nn then uvisome na ueleweTupe nondo mkuu namna ya kuipata hiyo 50%
Kutojihusisha na uzi huu, mpaka uwe approved kufanya hivyo baada ya kukutana na mrija, HS Code, ndio hu-approve hiyo. So far, tuendelee kupambana na kujihusisha na uzi huu.Unaweza kua unajua ila pepa za utumishi zikakufanya uonekane hujui kwa sababu ya umakini kweli mimi ni wa kushindwa kujiongeza ili uweze kuaccess server lazima uwe na network zaidi ya masaa mawili
Nilitaman sana kuajiriwa TRA ila ndo hivyo jahazi la matumani ndo linazama bye wazeee sitajihusisha na huu uzi tena .
Asubiri matokeo si Bado anaweza toboaHakunaga kuleta ujuaji mbele ya psrs[emoji3][emoji3]